ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nampigia debe Joannah kwa Tresor MandalaKadi za michango ya Nani?? Tapiga mtu
Kwani wewe unamtaka joannah? Hadi upige mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nampigia debe Joannah kwa Tresor MandalaKadi za michango ya Nani?? Tapiga mtu
Namtaka first born huyo mwenye 42years nishakwambia😎Sijagoma. Wakikukataa watoto najipigia pande mwenyewe.
Mchukue last born
Nyie nishawaona mnapendana ila sasa tresor ni domo zege🤸Yaani sio kaniota,sema "TUMEOTANA" na Mimi nimeamka namuwaza sana😁😁😁
Itakua ni faiza mzee mwenzako.Hapana. Ninaye mtaka unamjua.
Unataka nimwage Mchele kwenye kenge wengi
First born mjanja mjanja atakusumbua.Namtaka first born huyo mwenye 42years nishakwambia😎
Mnampiga nani mkuu😅?Kadi za michango ya Nani?? Tapiga mtu
Basi siwataki wote!First born mjanja mjanja atakusumbua.
Chukua last boni yeye Kwanza mdomo mzto ndio maana nampambania kijana wangu
🤣🤣🤣🤣🤣Itakua ni faiza mzee mwenzako.
🤣🤣🤣PM zetu ziko waziNyie nishawaona mnapendana ila sasa tresor ni domo zege🤸
Au fungua pm aje
Utamchukua Kwa mashartBasi siwataki wote!
Basi unamtaka joannah🤣🤣🤣🤣🤣
Hahah wewe na faiza si n MTU mmoja weye Id mbili
Masharti ganiUtamchukua Kwa mashart
Ngoja nimrahishishie Kazi tresor🤣🤣🤣PM zetu ziko wazi
Kumbe pm umefunga ila yeye anaingia muda wowote anaojisikia!🤭🤣🤣🤣PM zetu ziko wazi
Johannah Mali za wakubwa.Basi unamtaka joannah
🤣🤣🤣How?kwani Mywangu kafanyaje mbona Leo mnamsakama sana?Ngoja nimrahishishie Kazi tresor