Nalala ila saa 10:30 alfajiri inabidi niwe machoHulali?
Hongera na asubuhi njemaNalala ila saa 10:30 alfajiri inabidi niwe macho
AsanteHongera na asubuhi njema
Akhsante ephen_Asante
Iwe njema kwako pia
Akhsante kwa masahihisho ephen_Akhsante❌
Ahsante, Asante✅
Ntakuja baadae tubishane worry outUnaonekana ni m'bishi sana
Masahihisho ujayatendea kazi unanipa asante kwa kukosea tena
Cherie tusumbulie juu ya ile mambo muzuriNi juu ya nini papaa😁😁
Hahahahaha, kuna watu raha kuwasumbua , hasa my swahibaAhsante Swahiba....Nipo tayari kusumbuliwa😄
😅😅😅😅Nimecheka sana SwahibaHahahahaha, kuna watu raha kuwasumbua , hasa my swahiba
Thanx much momKaribu Rafiki😘