Mention someone without any reason just to disturb them

Nimechoka sana Joannah, kwa sasa naweka mkono tu juu ya kipapa maana jasiri haachi asili! Roho inaniuma sana, ule ushababi nikiona upapa na leo hii ni mbingu na ardhi. Mzee wa mchongo Grahams anajua hali ilivyo🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Umekuwa mlinzi bila kupenda?wewe Sasa ndio unanifaa Kwa kweli mambo ya kupigishana kwata kabla ya adhana aaaahhhh,huyo Babu wa mjini Grahams ni hatari nilimkuta huko mitaa ya kimasihara anamwaga radhi nilibaki nimeachama mdomo haaaaa
 
Mzee wa mchongo huyo, jaribu uone kama utatoka salama, huko mjini kimasihara anazama kunako hadi mtu anasquit🤣🤣🤣hakika mimi na wewe tutaendana kwa sasa. Hali yangu nikilinganisha na miaka 10 iliyopita inakatosha tamaa😀😀
 
Stori zake tu huko nilizosoma Kuna sehemu za mwili nililegea,hakika Siwezi kujaribu sumu muache tu Aendelee na utukutu wake wa uzeeni.....
 
Styles usiku,tumekula,tumeoga,tumekunywa kidogo au hatujanywa tunasengenya ndugu na jamaa kidogo na majirani ndio tuna malizia ....ila alfajiri aaaghhr uchovu sana jamani😁😁
Hahahaha watu wazima tuu ndio wataelewa.

Wakina ephen_ hawaelewi kabisa.

Nimecheka... Eti kusengenya kidogo majirani
 
Nimechoka sana Joannah, kwa sasa naweka mkono tu juu ya kipapa maana jasiri haachi asili! Roho inaniuma sana, ule ushababi nikiona upapa na leo hii ni mbingu na ardhi. Mzee wa mchongo Grahams anajua hali ilivyo🤣
Hakika Mzee mwenzangu, Sisi Wazee tumebaki kama nyuki wa mashineni tu Siku hizi, tunapishana na PisiKali mtaani lakini hata kugeuza shingo kuangalia neema za uumbaji hatuwezi 😜

Kweli tumezeeka 🤗
 
Huenda huyo mdau hakuwa Mzee Grahams Mimi, maana kusema kweli Babu yenu nimezeeka kweli kweli miaka 79 sio mchezo ujue 😜

Miaka 3 iliyopita nilijifanya kutest Zali kwa binti wa 22yrs kuona kama sijazeeka sawasawa, Binti wa watu alifanya kazi ya kuiamsha masaa 5 mfululizo lakini mnala wa Babeli haukuweza kusimama 🙌

Bora tumezeeka sasa 🤗
 
🤣🤣🤣Mnara wa babeli wajenzi mlikuwa mnaongea lugha gongana ndio maana haukusimama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…