Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kula ukimaliza ufunike" 🤣🤣Wanaume tunadhurumiwa saana.
🤣🤣🤣🤣🤣"Kula ukimaliza ufunike" 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Umekuwa mlinzi bila kupenda?wewe Sasa ndio unanifaa Kwa kweli mambo ya kupigishana kwata kabla ya adhana aaaahhhh,huyo Babu wa mjini Grahams ni hatari nilimkuta huko mitaa ya kimasihara anamwaga radhi nilibaki nimeachama mdomo haaaaaNimechoka sana Joannah, kwa sasa naweka mkono tu juu ya kipapa maana jasiri haachi asili! Roho inaniuma sana, ule ushababi nikiona upapa na leo hii ni mbingu na ardhi. Mzee wa mchongo Grahams anajua hali ilivyo🤣
Mzee wa mchongo huyo, jaribu uone kama utatoka salama, huko mjini kimasihara anazama kunako hadi mtu anasquit🤣🤣🤣hakika mimi na wewe tutaendana kwa sasa. Hali yangu nikilinganisha na miaka 10 iliyopita inakatosha tamaa😀😀🤣🤣🤣🤣🤣Umekuwa mlinzi bila kupenda?wewe Sasa ndio unanifaa Kwa kweli mambo ya kupigishana kwata kabla ya adhana aaaahhhh,huyo Babu wa mjini Grahams ni hatari nilimkuta huko mitaa ya kimasihara anamwaga radhi nilibaki nimeachama mdomo haaaaa
Bila kufumbua macho? Yaani yeye mda wote anasikilizia mtu huku macho kayafumba? Mi nahisi huyo anafika kibo chap sana, imagination zake zinamsaidia🤣🤣🤣🤣🤣
Unamsusia
Ndugu yangu ERoni hivi MTU anawezaje kupeana bila kufumbua macho??
Wanaume tunadhurumiwa saana.
HahahaaBila kufumbua macho? Yaani yeye mda wote anasikilizia mtu huku macho kayafumba? Mi nahisi huyo anafika kibo chap sana, imagination zake zinamsaidia🤣
Styles usiku,tumekula,tumeoga,tumekunywa kidogo au hatujanywa tunasengenya ndugu na jamaa kidogo na majirani ndio tuna malizia ....ila alfajiri aaaghhr uchovu sana jamani😁😁Hahahaa
Hii inawezekana vipi?? SASA Yale mastaili ya vijana wakisasa inakuwaje??
Stori zake tu huko nilizosoma Kuna sehemu za mwili nililegea,hakika Siwezi kujaribu sumu muache tu Aendelee na utukutu wake wa uzeeni.....Mzee wa mchongo huyo, jaribu uone kama utatoka salama, huko mjini kimasihara anazama kunako hadi mtu anasquit🤣🤣🤣hakika mimi na wewe tutaendana kwa sasa. Hali yangu nikilinganisha na miaka 10 iliyopita inakatosha tamaa😀😀
Hahahaha watu wazima tuu ndio wataelewa.Styles usiku,tumekula,tumeoga,tumekunywa kidogo au hatujanywa tunasengenya ndugu na jamaa kidogo na majirani ndio tuna malizia ....ila alfajiri aaaghhr uchovu sana jamani😁😁
Hivi wanasumbua sana eenh?Naam,
Usijichanganye ukaingia Kwa watoto WA 2000
Hakika Mzee mwenzangu, Sisi Wazee tumebaki kama nyuki wa mashineni tu Siku hizi, tunapishana na PisiKali mtaani lakini hata kugeuza shingo kuangalia neema za uumbaji hatuwezi 😜Nimechoka sana Joannah, kwa sasa naweka mkono tu juu ya kipapa maana jasiri haachi asili! Roho inaniuma sana, ule ushababi nikiona upapa na leo hii ni mbingu na ardhi. Mzee wa mchongo Grahams anajua hali ilivyo🤣
Usimtishe Mjukuu wangu hadi akaogopa kuniletea Kiko huku Kijijini nikimwita 😜Hadi kuna sehemu za mwili zililegea? Nadhani huyu mzee Grahams siku akikukamata mi sipo🤣🤣
Huenda huyo mdau hakuwa Mzee Grahams Mimi, maana kusema kweli Babu yenu nimezeeka kweli kweli miaka 79 sio mchezo ujue 😜🤣🤣🤣🤣🤣Umekuwa mlinzi bila kupenda?wewe Sasa ndio unanifaa Kwa kweli mambo ya kupigishana kwata kabla ya adhana aaaahhhh,huyo Babu wa mjini Grahams ni hatari nilimkuta huko mitaa ya kimasihara anamwaga radhi nilibaki nimeachama mdomo haaaaa
🤣🤣🤣Mnara wa babeli wajenzi mlikuwa mnaongea lugha gongana ndio maana haukusimamaHuenda huyo mdau hakuwa Mzee Grahams Mimi, maana kusema kweli Babu yenu nimezeeka kweli kweli miaka 79 sio mchezo ujue 😜
Miaka 3 iliyopita nilijifanya kutest Zali kwa binti wa 22yrs kuona kama sijazeeka sawasawa, Binti wa watu alifanya kazi ya kuiamsha masaa 5 mfululizo lakini mnala wa Babeli haukuweza kusimama 🙌
Bora tumezeeka sasa 🤗