ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Na wewe kaa utulie tukutafutie wa kuzeeka nae taratibu 😀Ndio maana nawapisha mkuu..nazurula kariakoo usiku kuzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe kaa utulie tukutafutie wa kuzeeka nae taratibu 😀Ndio maana nawapisha mkuu..nazurula kariakoo usiku kuzuri sana
Mywangu acha kuzurula peke yako bhana😁Ndio maana nawapisha mkuu..nazurula kariakoo usiku kuzuri sana
Hahahahaha...mie ajitafute mwenyewe ajipe kabisa..HahahahahaNa wewe kaa utulie tukutafutie wa kuzeeka nae taratibu 😀
Kwani na yeye ni Mzee?🤔Na wewe kaa utulie tukutafutie wa kuzeeka nae taratibu 😀
Hahahahaha...sisumbui mtu huoni ni vzrMywangu acha kuzurula peke yako bhana😁
Unavuta halafu moshi unautoa taratibu legend, sie wazee moshi unatoka puani na masikioni...legend niletee nizeeke kwa amani😀🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo Legend wewe Kiko unavuta bila papara?Dah nyie vijana mnaozeekea mjini ni watundu sana
Mzee mwenzetu huyu, tunajaribu kuzeeka ila tunagoma🤣🤣Kwani na yeye ni Mzee?🤔
Hahahahaha...unaniona kijana eehKwani na yeye ni Mzee?🤔
Sie ni wale wazee tuliosema uzee mwisho chalinzeMzee mwenzetu huyu, tunajaribu kuzeeka ila tunagoma🤣🤣
Kama mnataka kuzeeka hivi,kama hamtaki yaani mpo half half🤣🤣🤣ila umri huo mnakuwaga watamu sana yaani ni wale ma big boysMzee mwenzetu huyu, tunajaribu kuzeeka ila tunagoma🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Uwiii, kiko nine kimiss place hata sijui Kiko wapi yaaniHapa nazidi kukupenda legend, kama umejua nilipo sasa unaacha nini kuleta kiko nivute!!🤣🤣🤣🤣
Usumbufu ni tiba ya Moyo😌Hahahahaha...sisumbui mtu huoni ni vzr
Ona unaanza kunipandisha presha yangu...🤣🤣🤣🤣🤣Uwiii, kiko nine kimiss place hata sijui Kiko wapi yaani
Hahahahaha....raha usumbufu umpate msumbufuUsumbufu ni tiba ya Moyo😌
HahahahahaKaka flan hivi wa makamu ya ERoni 44-48😃
Mkuu, umevuta mpunga WA pension kabla ya kikokotoo hakija Anza kutumikaHalafu pension imetoka tangu Mwezi uliopita ujue 😜
Hebu niletee Kiko Babu yako 🤗
🤣🤣🤣🤣Ila huyu sumbai mbona Leo kanikalia kooni jamani🙆Mimi Nina ujuzi Gani nautoa 🤣🤣?