Sawa babu! Jumatatu nitaenda na sumbai hapo mkuki kuonja hiyo pizza nitakupa mrejeshoHuenda hujawapenda tu, ila ni watamu sana ukishushia na Coca/Pepsi baridi π€
Hizo Pizza ulizokula ni za pale Pizza huts ama Pizza za Mtaani π
Nenda kale kaonje Pizza za Mkuki mall pale
Jumatatu sio mbali babuβΊοΈHapo sawa, ukila pizza za hapo Mkuki mall utakuja kutoa ushuhuda vile zilivyo tamu
They are real good cooker π
Ulete Mrejesho tu π€Jumatatu sio mbali babuβΊοΈ
Guede si kafunga. Majonzi yanatokea wapi?Sawa mkuu, Asante
Ila nina majonzi ya Guedeπ
Alikuepo leo na mchumba wake wa kituruki mzuri sanaaGuede si kafunga. Majonzi yanatokea wapi?
Yule haja kuzidi uzuri....Alikuepo leo na mchumba wake wa kituruki mzuri sanaa
Mimi nilijua yupo singleπ₯
Kaa kwa kutulia π£Yule haja kuzidi uzuri....
Wewe mtoto wakanda ya ziwa na cheupee peee....
Umemwacha mbali saaana
Guede wako yulee, watanzania hatujawahishindwa.Kaa kwa kutulia π£
Hulali?Kaa kwa kutulia π£
NalalaHulali?
Ana shida huyoephen_ hebu relax. Hii mutu inaonekana inatafuta attention bila mipango.
Sitaki kusikia habari za Guede from now onwardsGuede wako yulee, watanzania hatujawahishindwa.
Si unaona fei anachukua kiatu
Sema Woyooo woyo woyoooooAlikuepo leo na mchumba wake wa kituruki mzuri sanaa
Mimi nilijua yupo singleπ₯
Mbona unafurahi sasa?π£Sema Woyooo woyo woyooooo
Kumbe ni mzuri eeeh?π€£π€£π€£π€£
Daah huyo kweli ni mzuri. Sasa we unaumia nini hapo hupendi mchezaji wetu aendelee kuperform vizuri na happy family yake?