Vipi mkuuhahahaha we jamaa
Naam ephen!!
NimekukumbukaNaam ephen!!
Hapa ndio unatag mtu ili kumsumbua?Nimekukumbuka
Ndio, kwani nimekusumbua?Hapa ndio unatag mtu ili kumsumbua?
Si uzi unasema hivyo!Ndio, kwani nimekusumbua?
Niko busy kusaka pesa.!! Ngoja nizikamate ntarudi soon kuamsha popo πππKwakweli hata me naona. Yaani kumepoa humu kila nikiingia hamna jipya nikasema nikustue kwanza
Haya usije sema sikukuambiaJukwaa lote hili mkuu! Kwanini tukajibane pm? Hapahapa tutaongea
Ile namba uliyoipoteza itafute ukae nayo nina jambo langu hapo mwakaniHaya usije sema sikukuambia
Si ndo nakuitia unajizungusha, shauri zakoIle namba uliyoipoteza itafute ukae nayo nina jambo langu hapo mwakani
Mwenzio mambo yalinizidia nikasema nije kwanza humu kuomba tenda, hakii vile nimezipata saizi nina mda hadi wa kuswampaππππ.. Ila sikuizi mambo yamebadilika hadi sio poaNiko busy kusaka pesa.!! Ngoja nizikamate ntarudi soon kuamsha popo πππ
Nna miubuyu ya moto moto ngoja nimalize ninachokifanya mbona ntarudi kuwakausha uzazi π€£π€£π€£π€£Mwenzio mambo yalinizidia nikasema nije kwanza humu kuomba tenda, hakii vile nimezipata saizi nina mda hadi wa kuswampaππππ.. Ila sikuizi mambo yamebadilika hadi sio poa
Ufaanye tu kuniambia nakukuta wapi na popcorn zangu, maana vya kufanya vinaweza visiisheπ€π€ππNna miubuyu ya moto moto ngoja nimalize ninachokifanya mbona ntarudi kuwakausha uzazi π€£π€£π€£π€£
ππππ Tulia usiwe na pupaUfaanye tu kuniambia nakukuta wapi na popcorn zangu, maana vya kufanya vinaweza visiisheπ€π€ππ
Imeisha hiyo, na venye hunaga mbambamba jirani yangu, wacha tu niendelee kusugua miguu taratibu sina haja ya kuwahiπππππππ Tulia usiwe na pupa
Raha ya ubuyu uumwage sio uufiche