Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Tatizo unalalaga mno kikawashwa 😂😂😂
Tatizo unasahau kunitag😃😃.. Halafu majukwaa nyuzi nyingine sijui kwanini sina access nazo kama kule selfika kunakuaga na maubuyu halafu siwezi kuingia,. Hadi nilog out niview kama guest 🧐😬
 
Tatizo unasahau kunitag😃😃.. Halafu majukwaa nyuzi nyingine sijui kwanini sina access nazo kama kule selfika kunakuaga na maubuyu halafu siwezi kuingia,. Hadi nilog out niview kama guest 🧐😬
🤣🤣🤣🤣 Ule uzi wa moto mpk sio poa.!!
Ss hivi umepoa wachachuaji hawapo! Ushafungwa na kufunguliwa mara kibao, una hekaheka ule.
 
🤣🤣🤣🤣 Ule uzi wa moto mpk sio poa.!!
Ss hivi umepoa wachachuaji hawapo! Ushafungwa na kufunguliwa mara kibao, una hekaheka ule.
Naonaga😂😂.. Nilivyo mbea unahisi hua napitwa na kitu sasa😂😂 .. Nawasomaga tu kimyakimya
 
sumbai njoo mkwe wangu
Screenshot_20240528-180042.png
 
Back
Top Bottom