Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaHiyo ndio kitu mnanimalizaga maarifa nyie wanababa😁!
Hahahahaha...nasubiri🤣🤣🤣 Subiri kwanza
Acha kunisumbua dogo
Ndo dada pekee niliyebaki naye, acha tu nikusumbue, hahaAcha kunisumbua dogo
😂😂😂 Haya niambie sasa, uko poa?Ndo dada pekee niliyebaki naye, acha tu nikusumbue, haha
Me mzima, thank you for asking. Vipi huko, is everything okay..?😂😂😂 Haya niambie sasa, uko poa?
Asante, niko pouwa.Me mzima, thank you for asking. Vipi huko, is everything okay..?
Pole na kazi.
😂😂😂umeniweka pending mpaka nishasahauAsante, niko pouwa.
Eeh!! Ebu niambie ulichotaka kuniambia siku ile
😂😂😂 basi itakuwa, ulikuwa ni ujinga😂😂😂umeniweka pending mpaka nishasahau
Siwezi kuwaza ujinga nikiwa naongea na wewe. Nakukubali kinoma 😂😂😂😂😂😂 basi itakuwa, ulikuwa ni ujinga
Baba mkwe huishiwi vituko🤸
Mkwe umemisika...Baba mkwe huishiwi vituko🤸
Nimekumiss pia☺️Mkwe umemisika...
Unajua Sisi wababa mapenzi yote yapo Kwa mkwe