Mention someone without any reason just to disturb them

Usiponikubali dada ako wa ukweee utamkubali nani kwa mfano?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi pm tujadili habari za pesa na kufosi maisha mazuri. Umbea nimeretire ss hivi
Mmmmh 🀭🀭🀭🀭🀭hapo kwanza ncheke
 
Usiponikubali dada ako wa ukweee utamkubali nani kwa mfano?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi pm tujadili habari za pesa na kufosi maisha mazuri. Umbea nimeretire ss hivi
Tupo pamoja dada yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unifungulie sasa, niache kukusumbua public
 
😘😘😘 ccy nimekumiss ujue.!
Huyo Tresor Mandala akuachie hata kidogo basi jommooonii!! Khaaaa.!! Hukumwambia kuna last born wenu anahitaji malavu??
Da Shunie hivi unamuelewa dada yetu kweli??
Kwani umeachika?maana inatakiwa Kila Mtu apambane na huba lake kwanzaπŸ€—πŸ€—....I miss u more my pretty gal
 
Ww umemshikilia dada yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hata vikao vya familia hashiriki ni ww tyuuu.!!
Sijui umempa nini?? Dada anakuona kwenye glass 😜
🀣🀣🀣🀣 Nimefurahi sana kuupokea Moyo wangu baada ya mateso ya miaka mitatu namfukuzia,kweli Mungu ni wa wote
 
Kwani umeachika?maana inatakiwa Kila Mtu apambane na huba lake kwanzaπŸ€—πŸ€—....I miss u more my pretty gal
Sijaachika dada πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
Mimi na yule jamaa kuachana ni mpk JF ibinafsishwe labda.!! Nalipenda chalii langu hakuna mfano, sema linabowa sometimes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…