sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Nilikuwa kwenye mkesha, mkweJana! Uliniita halafu ukakimbia
😂😂🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa kwenye mkesha, mkweJana! Uliniita halafu ukakimbia
😂😂🤸
Mkesha upiNilikuwa kwenye mkesha, mkwe
Kwa Kuhani Musa,Mkesha upi
Tuseme Amina😂Kwa Kuhani Musa,
Nilikuwa kwenye maombi mazito ili piem yako ifunguke,
Hakika Mungu atanijibu leo
Nimesubiri saana, hakika atajibuTuseme Amina😂
Bwana atatenda mkwe! Tuweke imaniNimesubiri saana, hakika atajibu
Ila vincenzor unapenda hekaheka!Odo yule cheapest 🤣😁😁 ana maisha magumu sana kumbe hadi bando anaishi kwa kukopa kulipa aaanh
🤣😂😁😁😎😎😎 Habari za asubuhi ndugu yangu ephen_Ila vincenzor unapenda hekaheka!
Mimi nilishakuambia wewe dakika mbili mbele unabadilika😂
Mkeo kazi anayo
Kuna mdau roho ilimuuma sana mpaka akawa anaomba msamaha kwa aliyo Fanya eti nisamehee sirudii Tena nitakuwa mwema humu nisamehe😁😂😂🤣🤣Nzuri kabisa vincenzor akee
Alimuomba nani msamaha?Kuna mdau roho ilimuuma sana mpaka akawa anaomba msamaha kwa aliyo Fanya eti nisamehee sirudii Tena nitakuwa mwema humu nisamehe😁😂😂🤣🤣
Imani yetu haijawahi kupungua,Bwana atatenda mkwe! Tuweke imani
Ujue mimi sitaki kununua ugomvi wenu mdogo angu 😂😂😂😂 yaani sitaki kabisaOdo yule cheapest 🤣😁😁 ana maisha magumu sana kumbe hadi bando anaishi kwa kukopa kulipa aaanh
afu mbona unamkandia hivi,, ushawah muomba akakunyima nini😌😂🤣🙌🏾😂🤣🤣🤣😁😁😁Jamaa anasubiria kukopa bando ili aje kutukana kwenye forums inasikitisha sana Odo
Heshima yako mkuu,
Naona unamchokoza. Akija usikimbie 😅
Mimi nipo jf Kila siku Mkuu sio mkopa bando aje tu kwanza nilisha sukuma ignore listNaona unamchokoza. Akija usikimbie 😅