Nilikuwa kwenye mkesha, mkweJana! Uliniita halafu ukakimbia
πππ€Έ
Mkesha upiNilikuwa kwenye mkesha, mkwe
Kwa Kuhani Musa,Mkesha upi
Tuseme AminaπKwa Kuhani Musa,
Nilikuwa kwenye maombi mazito ili piem yako ifunguke,
Hakika Mungu atanijibu leo
Nimesubiri saana, hakika atajibuTuseme Aminaπ
Bwana atatenda mkwe! Tuweke imaniNimesubiri saana, hakika atajibu
Ila vincenzor unapenda hekaheka!Odo yule cheapest π€£ππ ana maisha magumu sana kumbe hadi bando anaishi kwa kukopa kulipa aaanh
π€£ππππππ Habari za asubuhi ndugu yangu ephen_Ila vincenzor unapenda hekaheka!
Mimi nilishakuambia wewe dakika mbili mbele unabadilikaπ
Mkeo kazi anayo
Kuna mdau roho ilimuuma sana mpaka akawa anaomba msamaha kwa aliyo Fanya eti nisamehee sirudii Tena nitakuwa mwema humu nisameheππππ€£π€£Nzuri kabisa vincenzor akee
Alimuomba nani msamaha?Kuna mdau roho ilimuuma sana mpaka akawa anaomba msamaha kwa aliyo Fanya eti nisamehee sirudii Tena nitakuwa mwema humu nisameheππππ€£π€£
Imani yetu haijawahi kupungua,Bwana atatenda mkwe! Tuweke imani
Ujue mimi sitaki kununua ugomvi wenu mdogo angu ππππ yaani sitaki kabisaOdo yule cheapest π€£ππ ana maisha magumu sana kumbe hadi bando anaishi kwa kukopa kulipa aaanh
afu mbona unamkandia hivi,, ushawah muomba akakunyima niniπππ€£ππΎππ€£π€£π€£πππJamaa anasubiria kukopa bando ili aje kutukana kwenye forums inasikitisha sana Odo
Heshima yako mkuu,
Naona unamchokoza. Akija usikimbie π
Mimi nipo jf Kila siku Mkuu sio mkopa bando aje tu kwanza nilisha sukuma ignore listNaona unamchokoza. Akija usikimbie π