Nikiwa nakuita hilo jina sii ni kama vile nakubembeleza wakati sina kosa nimefanya...🤣🤣🤣🤣🤣....To yeye bye bye 😉
🤣Utaelewa tu,ngoja dawa ikukolee😜Nikiwa nakuita hilo jina sii ni kama vile nakubembeleza wakati sina kosa nimefanya...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aisee
Natafuta unigombeze... unifokee...Mbona unahasira na wivu wa waz🤣embu kausha bhana
Hasira za nini wee mama...Mbona unahasira na wivu wa waz🤣embu kausha bhana
Siku nikikupata nitakuweka ndani daima😉Natafuta unigombeze... unifokee...
Ndani wapi sasa? nikikosa pumzi...Siku nikikupata nitakuweka ndani daima😉
Ha ha haaa🤣....we jamaa wewe.Tafadhali urafiki wangu nawe udumu daima....kumbuka tusivuke bas....tukumbuke tulikosana nao coz ya love.Love is sweet but evil.I hate it😠Hasira za nini wee mama...
Wataka kuniua bure wee mama...
Yule siyo wangu, nami siyo wako, chuki ya nini kati yangu mimi na wewe...
Nasema sina makosa, wee mama...
Kuna mlevi mmoja alikua anaimba hiyo nyimbo, akiyumbayumba...
🤣🤣🤣🤣 Haitakuwa Ivo bhana,ivi umesema Mata.ko ya kuku🤔🚴Ndani wapi sasa? nikikosa pumzi...
Tatizo sasa wewe ushapenda na unanitaka sana, uniweke ndani nife ufurahi itakua ngumu kuto kuvuka mipaka..Ha ha haaa🤣....we jamaa wewe.Tafadhali urafiki wangu nawe udumu daima....kumbuka tusivuke bas....tukumbuke tulikosana nao coz ya love.Love is sweet but evil.I hate it😠
Hakujui vizuri,aulizeulize🤣🙌
Bado unawaza matak.o ya kuku...🤣🤣🤣🤣 Haitakuwa Ivo bhana,ivi umesema Mata.ko ya kuku🤔🚴
Usimtishe, sina madhara yoyote awe na amani tu...Hakujui vizuri,aulizeulize🤣🙌