zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Aya Chakorii naacha mammie Sema kiswahili hakiko romantic ndo maana[emoji4][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]we muache tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya Chakorii naacha mammie Sema kiswahili hakiko romantic ndo maana[emoji4][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]we muache tu
Naona hajui bado tanzania na watu wake😅😅😅[emoji23] watu wanampita tu.hajui sisi ni ma judge.
Huo uromantic wako unaousema hapa unapatatikana kwenye pesa mdogo wanguAya Chakorii naacha mammie Sema kiswahili hakiko romantic ndo maana[emoji4]
Najua mdogo wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani nimekutania tu[emoji24]
Mmh!mi hata nisipokuwa na pesa Ila habibi Wangu lazima awe happy na kwenye furaha hiyo ndo pesa itapatikana[emoji4]Huo uromantic wako unaousema hapa unapatatikana kwenye pesa mdogo wangu
Piga shule kwanza mdogo wangu..kwa sasa hakuna kitu utaelewa..Mmh!mi hata nisipokuwa na pesa Ila habibi Wangu lazima awe happy na kwenye furaha hiyo ndo pesa itapatikana[emoji4]
Shule niliacha dada nikiwa form 3 saivi nasaka money tu InshaAllah[emoji4]Piga shule kwanza mdogo wangu..kwa sasa hakuna kitu utaelewa..
SawaShule niliacha dada nikiwa form 3 saivi nasaka money tu InshaAllah[emoji4]
Hata kunishauri hutaki[emoji4]Sawa
Wakati ukifika na changamoto utakazopitia ndizo zitakazokushauriHata kunishauri hutaki[emoji4]
Dah! Good sis[emoji6]loh!nimetumia kiingereza tena we kiingereza niache tafadhaliWakati ukifika na changamoto utakazopitia ndizo zitakazokushauri
Hahah kwamba hayo ma 'bot' nayo yapo romantic?Jmn ushamtaja Kawe Alumni wangu😂😂😂
Vipi ushaelewa maana yake? [emoji2986][emoji2986][emoji2986]Nimezipenda tu niambie maana yake basi [emoji12]
😀😀 Kwamba just to disturb me