Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Acha roho mbayaNaenda kuchekea kitchen [emoji23]
Mbona mi najua huna hiyo roho😅😅😅😅
Nitakugawia ,shauri yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha roho mbayaNaenda kuchekea kitchen [emoji23]
Nilitaka kushangaa maana najua una upendo toka moyoni😍🤭Haimtoshi hiyo ebu muongezee yani aende Dubs alafu asipitie hata kwa ZARA achukue slipper ya dollar 100 [emoji6]
😅😅😅Km jina lakeFifi wa moto 😂
Acha roho mbaya
Mbona mi najua huna hiyo roho[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nitakugawia ,shauri yako
Subiri kwanzaNa mimi nikupe account??
Si ndioooMi sina neno nasubiri ujazwe mshiko unigawie hata ya thoda tu!! [emoji23][emoji23]
Nilitaka kushangaa maana najua una upendo toka moyoni[emoji7][emoji2960]
[emoji28][emoji28][emoji28]Km jina lake
Subiri kwanza
Si nitakugawia kondoo wangu au [emoji28]
Si ndiooo
Najua kondoo wangu hunaga baya [emoji28]
Yaani sie wa vya kko jomoniii 🤣Kumbe una mrembo wa kuvaa brands!! Basi atakuwa yuko vizuri!! Sisi tushazoea midosho ya tandika.
🤣🤣🤣 mwanafunzi Yuko vzr ss hata mafungu ya kumi ameshajua cocastic unsona lknNiliona anataka kukimbia tukakosa fungu la kumi [emoji23]
🤣🤣🤣Khaaa[emoji23][emoji23][emoji23] mbna cna?
Hata mi nimeliona Hilo😅Mimi sina roho mbaya mbona mama mtumishi, hapa nakazia upate na ya shopping [emoji877]
Yaani sie wa vya kko jomoniii [emoji1787]
Hata mi nimeliona Hilo[emoji28]
Heheee wapiiiMama mtumishi wewe wa mabrand bana, vya kkoo na tandika vya kwetu kina Lamomy hapa [emoji23]