Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aikooooooh 😝 nakuja auntieAikoooh uje mahakama kuu nikusomee mashtaka yako naona huu mwaka unataka kuingia na guu bovu we komwe Aikoo
Ewaaa! Haya ufanye urudi hebu mdogo wangu. 😘Nimejibu dada leo nimeona mapema kabisa
Taratibu taratibu nduguEwaaa! Haya ufanye urudi hebu mdogo wangu. 😘
Hahahaaa. Lol.Taratibu taratibu ndugu
Naomba jina la wimbo tasavali... asking for a friend 😅Come on over in my direction
So thanksful for that such Blessing
Turn every situation into Heaven yeaaah
Ooh you are..
My sunrise into darkest day
Got me feeling somekind of way
Make me wanna savor every moment slowly
You fit me tailor
May love how you put it on 💦💦
Lenie
Kwani mimi ni shazam 🤣Naomba jina la wimbo tasavali... asking for a friend 😅
Jishaue😂Kwani mimi ni shazam 🤣
Sifa ya mwanamkeJishaue😂
Ahsante,kwako piaHappy New Year my pipo
Nimewamiss mno
Mahondaw cocastic Missy Gf Joannah Tayana-wog binti kiziwi Zulu man Ms eyes Dr Lizzy mshamba_hachekwi raraa reree Omulasil Mpaji Mungu Half american Unique Flower Tlaatlaah Rabbitus Saint Anne Dejane Shunie Mjep Mshana Jr Glenn na wengine niliowasahau wote All members
Haya kabla ya yote wale wa uzi wa mafoto vipi?!! Mbona naingia nakuta uzi umefungiwa tena?!!! Kwan kilitokea nini wapendwa?
Hebu nipeni samarre kwanza 🥺
Mi nishakuja na li album langu la mifoto ya holiday na baby wangu nakuta mauzauza..!!
Nini kimetokea??
🤣🤣Aah baby karudi jamaniHappy New Year my pipo
Nimewamiss mno
Mahondaw cocastic Missy Gf Joannah Tayana-wog binti kiziwi Zulu man Ms eyes Dr Lizzy mshamba_hachekwi raraa reree Omulasil Mpaji Mungu Half american Unique Flower Tlaatlaah Rabbitus Saint Anne Dejane Shunie Mjep Mshana Jr Glenn na wengine niliowasahau wote All members
Haya kabla ya yote wale wa uzi wa mafoto vipi?!! Mbona naingia nakuta uzi umefungiwa tena?!!! Kwan kilitokea nini wapendwa?
Hebu nipeni samarre kwanza 🥺
Mi nishakuja na li album langu la mifoto ya holiday na baby wangu nakuta mauzauza..!!
Nini kimetokea??
Mate kumbe kuna sehemu mpya ya kuweka.? Kwan ule ulikuwaje jamani 😭😭😭Ahsante,kwako pia
Nimekukumbuka sanaaaa😅
Watakuelekeza sehemu mpya ya kuweka hizo picha hivi karibuni.
Wewe nakufata uko diamond jubilee unipe samaree usintanie 😜🤣🤣Aah baby karudi jamani
Ila Niko daimond jubilee Kwa mwalim Mwakasege hapa baadae...
Looo vny hivyo we wa kutukalia kimya hivi jmn nilikumiss...
Uzi ulifungwa, cocastic toa samareee🤣🤣🏃
Mambo ni mengi baadae
Pm Yako umefunga sa ndo nn jmnWewe nakufata uko diamond jubilee unipe samaree usintanie 😜
Halafu shoo nna jambo zito nataka kukwambia puliiz nitafute utacheka mpk mbavu ziume. 😂😂😂😂
Nafungua darling usijali, ila malizana na Mwakasege ntakucheck mida mida ili tuongee kwa utulivu 😜Pm Yako umefunga sa ndo nn jmn
Fungua basi 🤣🤣
Haya baadae