Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Hee
Hebu elezea kidogo mdogo wetu
No. Nilipewa ban ndefu na hii.. nikafungua ile 🀣 nikawa namchatisha chatsha. Sio kama ye akija na nyingine ni mitusi tu asbh mpk usku

Huku acha tu. Nilikutana pm na mtongozo wa id mbili zinamilikiwa na mtu 1 🀣🀣🀣
Niligundua kwenye picha aliyoshare πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nikamtonya. Akanambia chill. Nimemeza hadi leo yan


Kule selfika niliona mtu kavaa raba yako juzi
Nikapita kimya, nisije wasanua mod
 
🀣🀣🀣🀣 niliona shem anaongelea kuhusu aifoni 12
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yule naye kivuruge hajui kutunza siri kabisaaa..!! Nitafutieni dawa ya kumfanya asiwe anatoa siri zangu.
Na alivyo mbishi na king’ang’anizi sasa, nilisema iPhone lkn sikutaja toleo lipi yy kadakia 12 Pro 🀣🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yule naye kivuruge hajui kutunza siri kabisaaa..!! Nitafutieni dawa ya kumfanya asiwe anatoa siri zangu.
Na alivyo mbishi na king’ang’anizi sasa, nilisema iPhone lkn sikutaja toleo lipi yy kadakia 12 Pro 🀣🀣🀣🀣
Na wewe ukakazia🀣🀣🀣
 
Katika hilo tutasimama na shemeji kuhakikisha dada yetu mkemia Mahondaw anapata iPhone yake kama ulivyosema.

Ahadi ni deni.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yule naye kivuruge hajui kutunza siri kabisaaa..!! Nitafutieni dawa ya kumfanya asiwe anatoa siri zangu.
Na alivyo mbishi na king’ang’anizi sasa, nilisema iPhone lkn sikutaja toleo lipi yy kadakia 12 Pro 🀣🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom