Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Ujue nikikuonaga nakumbuka siku ile usiku, yaani sijui ingekuwaje aisee kama na wewe ungekuwa umelala🤣🤣🤣🤣🤣. Nilikutwa na jambo zito!
😂😂😂 ulinishtua sana ujue. Nilikaa kwanza kitandani wakati nafanya ile kitu.
Hapo sina utulivu sbb ya jina nilidhani ni dogo nae anaitwa kma lako 🤣🤣🤣

Na hujawahi sema
😂😂
 
😂😂😂 ulinishtua sana ujue. Nilikaa kwanza kitandani wakati nafanya ile kitu.
Hapo sina utulivu sbb ya jina nilidhani ni dogo nae anaitwa kma lako 🤣🤣🤣

Na hujawahi sema
😂😂
Hiyo nitakwambia, Yaani kuna siku moja napanga kukwambia🤣🤣🤣. Wewe acha tu sitoki tena safari za usiku kwa kweli
 
Na mkwanja ganiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] vicoba vinatusaidia halafu nilimuona shangazi Joannah sehemu akiii siku akipigwa sitamgombelezea
😂😂😂😂 wapi uko??? Yule bana siku hizi kachachuka mwenyewe namshangaa!!
Anatafuta wamchachue niingilie nipewe ban hana lolote..!! Ananijua kuvumilia siwezi nikiona anagombana na mtu nanunua ugomvi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapi uko??? Yule bana siku hizi kachachuka mwenyewe namshangaa!!
Anatafuta wamchachue niingilie nipewe ban hana lolote..!! Ananijua kuvumilia siwezi nikiona anagombana na mtu nanunua ugomvi

[emoji1787][emoji1787] chit chat humu kwenye thread ya wanawake weupe sijui na matako ila Joannah [emoji1316][emoji1787]
 
Back
Top Bottom