To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha..jamaa kagawa dislikes za kutosha sijui ana msongo wa mawazo?Unaniambia wewe kama nani?
Jitambulishe kwanza! Mimi ninakuhusu?
Mimi nilidhani ndoto yangu itakuja kutimiaDaah huyo kweli ni mzuri. Sasa we unaumia nini hapo hupendi mchezaji wetu aendelee kuperform vizuri na happy family yake?
Maana nilikua nishatuma wahuni wakatafute soksi yake kwa ajili ya kuanza kumshughulikia. Kwa sasa zoezi limeghairishwa
Nilikuta notification 80+ nikajiuliza kuna nini kufungua nakuta vitu vyekundu😂Hahahahaha..jamaa kagawa dislikes za kutosha sijui ana msongo wa mawazo?
Hahahahaha mimi pia nilikuta hivyo nikajua tu kijana ana stressNilikuta notification 80+ nikajiuliza kuna nini kufungua nakuta vitu vyekundu😂
Mambo vipi lkn..uko mbali na kimya sana Rafiki🤣🤣🤣🙄 mie nashukuru kwa yote 😒
Niko poa Kamanda…nadhani umbali si tatizoMambo vipi lkn..uko mbali na kimya sana Rafiki
Umbali tatizo Rafiki, tuwe tunawasiliana banaNiko poa Kamanda…nadhani umbali si tatizo
Haya poaUmbali tatizo Rafiki, tuwe tunawasiliana bana
SafiHaya poa
Kaka kaka
PoleeeeMimi nilidhani ndoto yangu itakuja kutimia
Kumbe holaaa! Ndo basi tena😞
Asante! NishapoaPoleeee
Umeamkaje mpenz
Upo gudi kakaKaka kaka
Safl.... Leo nitatoa sadaka ya shukrani juu ya haya maamuzi.Sitaki kusikia habari za Guede from now onwards
My son is happy nowSitaki kusikia habari za Guede from now onwards