Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi nimeamka!
Hakuna neno kaka pamoja sanaaNilisahau kaka
hahahaha we jamaa
Kwakweli hata me naona. Yaani kumepoa humu kila nikiingia hamna jipya nikasema nikustue kwanza😂😂😂 nipo jirani maisha yanatupeleka mbio
Abee…mambo?
Poa mimi..Twenzetu mahangaikoniAbee…mambo?
Hiyo swahiba niwe mkweli siijui.ikoje nipe somo kdgNimesali Baraka Swahiba....
Unaijua?😄
HahahahahaNa zile samaki zao zilivyo tamu....
Naomba ratiba Weekend ijayo Best😅
Pole unaelekea wapi? Shuka sehemu nikupitie na bajaj yangu naenda kariakoo kubeba bidhaaNipo kwenye daladala watu nyomiii
Waliosimama wamenilalia pumzi imenibana harufu nzito nahisi kuzimia😞
Siku hizi unakua msanii sana😂Pole unaelekea wapi? Shuka sehemu nikupitie na bajaj yangu naenda kariakoo kubeba bidhaa
Msanii kivipi tena ? Ok uko posta sehemu gani..mie bajaji napaki mnazi mmojaSiku hizi unakua msanii sana😂
Ninapotokea huwezi kupita na mkoko wako ila naelekea Posta hata hivyo nakaribia kufika