Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi unakuokoa sana dogo🤪🤪
Nimeomba uzi urudishwee love, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maharamia hawajafika huku in Saint Anne voice [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilijua tu 😂😂😂😂 pole. Kuna yule mjinga anaita mods mara nyingi. Halafu nao hebu watupishe, zile hekaheka ndiyo zinaamsha amsha bana.Nimeomba uzi urudishwee love, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jf Leo naiona km jelaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani JF leo imenikataa mood kabisaa, sina hata hamu nayoo. AaaahNilijua tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole. Kuna yule mjinga anaita mods mara nyingi. Halafu nao hebu watupishe, zile hekaheka ndiyo zinaamsha amsha bana.
Uzi wa umevaa nini, ulishafutwa nao ama?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani JF leo imenikataa mood kabisaa, sina hata hamu nayoo. Aaaah
Uko na nime comment sasa hivi, ila hauna chochotee.Uzi wa umevaa nini, ulishafutwa nao ama?
Why unafanya hayo? Halafu kwenye ID yako nyingine ulinitukana. Sikuwa na mood ya kugombana hiyo siku nikapotezea. Kuwa na amani na moyo wako, achana na hayo AuntHii auntiee! Nimekumiss 😃😘.
Kutag mods ni raha lakini napenda kesi kesi ujue 🤗
🤔 I'd nyingine? Duuh la hasha umekosea sijawahi kukuvunjia heshima muandiko wangu hujaukariri tuWhy unafanya hayo? Halafu kwenye ID yako nyingine ulinitukana. Sikuwa na mood ya kugombana hiyo siku nikapotezea. Kuwa na amani na moyo wako, achana na hayo Aunt
Okay kama siyo ID yako. Poa Auntie🤔 I'd nyingine? Duuh la hasha umekosea sijawahi kukuvunjia heshima muandiko wangu hujaukariri tu
Umenifananisha labda! Ila basi napenda kutag mods
Usiniite auntiee mi ni mwanaume ujue! 😁Okay kama siyo ID yako. Poa Auntie
Haya dogo janja 🤣🤣🤣🤣 poleUsiniite auntiee mi ni mwanaume ujue! 😁
Niite dogo tu inatoshs
Ok asante !Haya dogo janja 🤣🤣🤣🤣 pole
Poa dogo, nikutakie usiku mwema.Ok asante !
😄😊
Sana ila Kuna watu wanapenda sana kuchafua Uzi😁🤣Huu uzi unakuokoa sana dogo🤪🤪