Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
One day yes ngoja niuze hii mihogo ya vuli huenda siku moja nitafanikiwa kununua ticket.Sky wewe ulipaswa kuwa Uingereza unapenda sana huko hasa story za royal family (jipige kifua useme one day yes)😂
Menu hiyo mimi sielewi chochote ningechaguliwa na muhudumu
😅kabisa, kumbe unalima mihogo !!!! nitaipitia hapo kama gunia zima maana ndio vitu vyetu hiviOne day yes ngoja niuze hii mihogo ya vuli huenda siku moja nitafanikiwa kununua ticket.
Mbona yupo mbele kitamboSky wewe ulipaswa kuwa Uingereza unapenda sana huko hasa story za royal family (jipige kifua useme one day yes)[emoji23]
Menu hiyo mimi sielewi chochote ningechaguliwa na muhudumu
Tukifika huko unaweza kuchukua meli mpaka Seashells ukarudi kwa ndege na ni package. Wanafanya Ulaya unaondoka Portugal to France, France London na unarudi Portugal ndani ya masaa 24.Tuachani masihara, hakuna usafiri amazing kama wa majini...
Najua nimechelewa sana, lakini naendelea kuzichanga taratibu hadi nichukue 14 days cruise ship manake nitakuwa sijaitendea haki nafsi yangu endapo nitadanja kabla sijaikamilisha hii ndoto!!
Tuachani masihara, hakuna usafiri amazing kama wa majini...
Najua nimechelewa sana, lakini naendelea kuzichanga taratibu hadi nichukue 14 days cruise ship manake nitakuwa sijaitendea haki nafsi yangu endapo nitadanja kabla sijaikamilisha hii ndoto!!
Ukitoa siasa zako za chuki.......
Dah.... Huyu Madam anasiasa za chuki? Yaani kua na maoni mbadala dhidi ya CCM ni chuki?Ukitoa siasa zako za chuki.......
una vitu adimu sana......
Mkuu aende mara ngapi?Sky wewe ulipaswa kuwa Uingereza unapenda sana huko hasa story za royal family (jipige kifua useme one day yes)😂
Menu hiyo mimi sielewi chochote ningechaguliwa na muhudumu
Balaa huyo ukimkuta siasani.....Dah.... Huyu Madam anasiasa za chuki? Yaani kua na maoni mbadala dhidi ya CCM ni chuki?
Nakushauri uanze kupanda meli kwa masaa sita hivi au nane mara kadhaa ndio ununue ticket ya cruising ya zaidi ya wiki mbili ndani ya majiTuachani masihara, hakuna usafiri amazing kama wa majini...
Najua nimechelewa sana, lakini naendelea kuzichanga taratibu hadi nichukue 14 days cruise ship manake nitakuwa sijaitendea haki nafsi yangu endapo nitadanja kabla sijaikamilisha hii ndoto!!
kumbe yupo huko!!! ,kwa mabeberu ni kutamu sana hasa Norway huwa naitamani japo naambiwa huko kilo moja ya nyama ni sawa na elfu 70 za TZMkuu aende mara ngapi?
Bukoba mwaza masaa kumiTukifika huko unaweza kuchukua meli mpaka Seashells ukarudi kwa ndege na ni package. Wanafanya Ulaya unaondoka Portugal to France, France London na unarudi Portugal ndani ya masaa 24.
Mimi sio mgeni wa kusafiri baharini...Nakushauri uanze kupanda meli kwa masaa sita hivi au nane mara kadhaa ndio ununue ticket ya cruising ya zaidi ya wiki mbili ndani ya maji