Mercedes Benz 2014 S550

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,677


Wakati tukiwa katika karne ya 21 huku tukiwa tunashuhudia teknolijia mbalimbali duniani ambazo zinakufanya kushangaa nakuona kama ni kiini macho huamini amini;
Hivi katika kuendeleza teknolojia - imezinduliwa Mercedes Benz 2014 S550 ambayo ukishaiwasha unaweka setting zako, inajiendesha yenyewe wewe kadri ulivyo weka setting zako, huku ukiwa wewe umekaa, ukisubiri pale utakapo hitajika kubadili setting zako kutoka na mazigira.

Mercedes Benz 2014 S550 , bei yake bado haijajulikana itauzwa kiasi gani.


© 2013 BW
 
Mwonekano wake wa nje sijaupenda kivile, I like the previous edition labda perfomance yake ndo iko bomba sambamba na teknolojia ya kisasa.
 
[QUO2014 Mercedes-Benz S550
On Sale: September
Base Price: N/A
Drivetrain: 4.6-liter, 449-hp, 516-lb-ft twin-turbocharged V8; RWD, seven-speed automatic
Curb Weight: 4,277 lb
0-62 MPH: 4.8 sec
Fuel Economy (EPA Combined): 27.3 mpg
TE=kbm;6922594]

Wakati tukiwa katika karne ya 21 huku tukiwa tunashuhudia teknolijia mbalimbali duniani ambazo zinakufanya kushangaa nakuona kama ni kiini macho huamini amini;
Hivi katika kuendeleza teknolojia - imezinduliwa Mercedes Benz 2014 S550 ambayo ukishaiwasha unaweka setting zako, inajiendesha yenyewe wewe kadri ulivyo weka setting zako, huku ukiwa wewe umekaa, ukisubiri pale utakapo hitajika kubadili setting zako kutoka na mazigira.

Mercedes Benz 2014 S550 , bei yake bado haijajulikana itauzwa kiasi gani.


© 2013 BW[/QUOTE]
 
Kudadadeki, sijui maendeleo ya teknolojia ya ya ungo yamefikia wapi hivi sasa?
hayo huwa hayana innovation yoyote, wanaoyajua tangia miaka ya 1700s ndio wale wale mpaka leo na ukitaka kuwa subordinate hayo masharti ni lazima ukimbie mwenyewe! Ndio maana hiyo teknolojia imebakia na wenyewe.

 
Saidia nielewe...hizo setting unapoziweka inakuwa na uwezo wa kukwepa daladala, bajaji na bodaboda??
 
Mwonekano wake wa nje sijaupenda kivile, I like the previous edition labda perfomance yake ndo iko bomba sambamba na teknolojia ya kisasa.

mi naona iko sawa mkuu isipokuwa tail lights ndio inabidi zifanyiwe changes ziwe kama za previous versio..Almost benz zote za s class latest edition wamebofoa kwenye taillights.
 
Saidia nielewe...hizo setting unapoziweka inakuwa na uwezo wa kukwepa daladala, bajaji na bodaboda??
Kuna sehem.za kuendeshea sio temeke na manzese mixa mbagala.
Kwetu huku tutasubiri sana
 
Mercedes-Benz ukiendesha hizo gari sidhani kama unaweza kuwakosoa kitu ila ukiangalia nje utatoa makosa kibao...gari za kibabe sana road zina comfort ya kutosha na pia zina balance sana...Benz ni gari linaloongea...
 
Mercedes-Benz ukiendesha hizo gari sidhani kama unaweza kuwakosoa kitu ila ukiangalia nje utatoa makosa kibao...gari za kibabe sana road zina comfort ya kutosha na pia zina balance sana...Benz ni gari linaloongea...
Nimeuza gari zangu zote, naongezea pesa nivute E350, kuna rafiki yangu kanitia moto sana kanunua E350 AMG mpyaaa siku kaniita nikapaki pembeni ya hiyo gari nikaanza jiuliza hii chuma ya nani hapa badae ndio ananiambi yake nilichoka yaaani ile gari aacha kabisa huwezi tamani kushuka wala kuchoka kuendesha
 
Siku uendeshe hata kina Cayenne uone mabadiliko.
 
Siku uendeshe hata kina Cayenne uone mabadiliko.
Mkuu tatizo pesa mzee.. Cayenne kuna siku nimekuta watoto wazuri kinoma pale M.city wakuliwa kabisa na mie tena namba DX mpyaaa .. ushuru wa TRA siwezi kwa sasa hali yangu ya sasa E350 naweza imudu na kuhudumia ila hayo mengine siwezi mzee.. lazima uangalie na kiwango chako cha pesa
 
One day yes. Tuongeze juhudi.

Kuna Cayenne GTS ya 2017 nna mpango nayo mwakani mwishoni kabisa.
 
One day yes. Tuongeze juhudi.

Kuna Cayenne GTS ya 2017 nna mpango nayo mwakani mwishoni kabisa.
Hongera Mkuu one day yes mimi najibanza kwenye Benz na Ford huko Cayenne kodi ya Mama haisomeki ila nikiziona mwili unasisimuka ile gari ina mapumziko balaa..
 
Kuna day dreaming nyingi humu,ngoja motivational speaker nipark hii Maybatch yangu,nichukue ferrari F8 Tributo ya wife hapa niende kwa mangi kununua mafuta ya kula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…