Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Wakuu.
Katika segment ya compact executive cars tunakutana na wakali wengi sana, mfano BMW 3 series, Mercedes Benz C Class, Audi A4, Volvo S60, Genesis G70, Lexus IS nk.
Yote tisa, hii generation ya nne ya Mercedes Benz C Class, W205, iliyoanza mwaka 2014 hadi 2021 ni namba nyingine kabisa.
Wengi wamekua wanaipambanisha na BMW F30 ila tukiacha mapenzi pembeni, muonekano wa F30 ni improvement ndogo sana kutoka E90, ila muonekano wa W205 ni improvement kubwa sana kutoka generation iliotangulia W204.
Improvement haijaishia kwenye muonekano tu, ila ata handling, technology, efficiency na power za hii W205 ni upgrade kubwa sana.
Kingine nnachowapendea Benz wametoa aina nyingi sana za engine kwenye hii class, kuanzia Diesel, Petrol hadi Hybrid.
Kwa mfano, hapa una selection ya engine ziguatazo:
Petrol:
Kama utakua makini, kumbuka kuanzia miaka hii ya 2014 BMW wanatoa F30 generation, walikua wameacha kutengeneza engine za V8 katika hii class, ila Benz aliendeleza kutuletea Mercedes Benz AMG C63, 4.0L V8.
Tunapishana nazo mjini, tatizo TRA ndio wanaweka vikwazo, kwani entry level C200 ya 2014 unalipia ushuru Mil 12, wakati ukiitaka kutoka JP utatakiwa kutuma $6,000 minimum.
Kuna Watanzania wanaziuza, either showroom au walizotumia ila jiandae kupasuka Mil 50 kuendelea kwenye mashowroom.
Kuna baadhi namba E inamanaisha zimetumika kidogo kuanzia 2023 maybe hapa, naona zipo kwenye 30 - 40 Million.
Kwa miaka ya 2010 hadi 2020 naamini hii ndio best car katika segment yake.
Katika segment ya compact executive cars tunakutana na wakali wengi sana, mfano BMW 3 series, Mercedes Benz C Class, Audi A4, Volvo S60, Genesis G70, Lexus IS nk.
Yote tisa, hii generation ya nne ya Mercedes Benz C Class, W205, iliyoanza mwaka 2014 hadi 2021 ni namba nyingine kabisa.
Wengi wamekua wanaipambanisha na BMW F30 ila tukiacha mapenzi pembeni, muonekano wa F30 ni improvement ndogo sana kutoka E90, ila muonekano wa W205 ni improvement kubwa sana kutoka generation iliotangulia W204.
Improvement haijaishia kwenye muonekano tu, ila ata handling, technology, efficiency na power za hii W205 ni upgrade kubwa sana.
Kingine nnachowapendea Benz wametoa aina nyingi sana za engine kwenye hii class, kuanzia Diesel, Petrol hadi Hybrid.
Kwa mfano, hapa una selection ya engine ziguatazo:
Petrol:
- 1.5 L M264 turbo I4
- 1.6 L M270 turbo I4
- 2.0 L M274 turbo I4
- 3.0 L M276 twin-turbo V6
- 4.0 L M177 twin-turbo V8
- 1.5 L M264 Mild-Hybrid turbo (EQ Boost) I4
- 2.0 L M139 Mild-Hybrid turbo (EQ Boost) I4
- 2.0 L M264 Mild-Hybrid turbo (EQ Boost) I4
- 2.0 L M274 PHEV turbo I4
- 2.1 L OM651 turbo I4 & Bluetec Hybrid
- 1.6 L OM626 turbo I4 & Bluetec
- 1.6–2.0 L OM654 turbo I4
- 2.0 L OM654 turbo I4 PHEV.
Tunapishana nazo mjini, tatizo TRA ndio wanaweka vikwazo, kwani entry level C200 ya 2014 unalipia ushuru Mil 12, wakati ukiitaka kutoka JP utatakiwa kutuma $6,000 minimum.
Kuna Watanzania wanaziuza, either showroom au walizotumia ila jiandae kupasuka Mil 50 kuendelea kwenye mashowroom.
Kuna baadhi namba E inamanaisha zimetumika kidogo kuanzia 2023 maybe hapa, naona zipo kwenye 30 - 40 Million.
Kwa miaka ya 2010 hadi 2020 naamini hii ndio best car katika segment yake.