Mercedes Benz C- Class

Mercedes Benz C- Class

Mkulima2002

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
291
Reaction score
211
Salaam Wakuu wangu, natumaini wote mko vema na mnaendelea salama na ujenzi wa Taifa Tanzania.

Natumaini Kama si wote basi baadhi yenu mnauzoefu na ujuzi japo kwa kiasi fulani juu ya vyombo vya moto {hapa nimelenga zaidi magari}

Wandugu mimi ni mpenzi wa Gari aina ya Gari aina ya Mercedes Benz C- Class sasa wakuu naombeni ushauri juu ya hii gari:-

1} Changamoto zake katika uendeshaji/umiliki
2} Utunzaji
3} Utumiaji wa mafuta

Na pia kama kuna kingine tujuzane kwa faida ya wote wenye ndoto hii.

Asanteni wakuu.
 

Attachments

  • BENZ.jpg
    BENZ.jpg
    74 KB · Views: 256
Salaam Wakuu wangu, natumaini wote mko vema na mnaendelea salama na ujenzi wa Taifa Tanzania.

Natumaini Kama si wote basi baadhi yenu mnauzoefu na ujuzi japo kwa kiasi fulani juu ya vyombo vya moto {hapa nimelenga zaidi magari}

Wandugu mimi ni mpenzi wa Gari aina ya Gari aina ya Mercedes Benz C- Class sasa wakuu naombeni ushauri juu ya hii gari:-

1} Changamoto zake katika uendeshaji/umiliki
2} Utunzaji
3} Utumiaji wa mafuta

Na pia kama kuna kingine tujuzane kwa faida ya wote wenye ndoto hii.

Asanteni wakuu.

Waipenda na hujaimiliki? ziko model nyingi latest ni WD204, kushuka WD203, WD202, WD201

na BENZ ni BENZ .....Gari ni hizo za Japan
 
Waipenda na hujaimiliki? ziko model nyingi latest ni WD204, kushuka WD203, WD202, WD201

na BENZ ni BENZ .....Gari ni hizo za Japan

ndio mkuu thanks for models numbers.. vipi kuhusu mambo mengine kama nilivyouliza hapo juu mkuu
 
Chukua ya south Africa unatoka nayo uanendesha mpaka dar.Border unaomba kibali cha miezi miwili unaendelea kuitumia huku ukitafuta hela ya ushuru na Vat.
 
Nenda website hii auto-data.net utaona gari kibao pamoja na ulaji wake wa mafuta
 
Chukua ya south Africa unatoka nayo uanendesha mpaka dar.Border unaomba kibali cha miezi miwili unaendelea kuitumia huku ukitafuta hela ya ushuru na Vat.

Mkuu una experience na hii Kitu maana Nani nilitaka kufanya hivi zilichanganya
 
Mkuu una experience na hii Kitu maana Nani nilitaka kufanya hivi zilichanganya
Experience ya kumiliki Mercedes au kununua toka South Africa?
 
Salaam Wakuu wangu, natumaini wote mko vema na mnaendelea salama na ujenzi wa Taifa Tanzania.

Natumaini Kama si wote basi baadhi yenu mnauzoefu na ujuzi japo kwa kiasi fulani juu ya vyombo vya moto {hapa nimelenga zaidi magari}

Wandugu mimi ni mpenzi wa Gari aina ya Gari aina ya Mercedes Benz C- Class sasa wakuu naombeni ushauri juu ya hii gari:-

1} Changamoto zake katika uendeshaji/umiliki
2} Utunzaji
3} Utumiaji wa mafuta

Na pia kama kuna kingine tujuzane kwa faida ya wote wenye ndoto hii.

Asanteni wakuu.
Ulaji wa mafuta ni mzuri sana, pia inakimbia sana (speed mpaka 260kms/hr). Ukiwa barabarani kama unapenda kukimbia, watu watakutafuta. Pia imetulia sana ukiiendesha.
 
Kwanza kiongoz heshimu hisia zako, kama umeipenda hii gari chukua kwan ni gari nzuri na imara sana, kuhusu mafuta jitahidi kuchukua isiyozid cc2000,

na kwa uimara ni gari imara sana kwan aina magonjwa mengi kama baadhi ya magari ya kijapani

kwenye spea hapa kidogo zimechengemka kidogo, ila ukifunga ni mkataba ukilinganisha na hizi za magari mengiene na upatikanaji wa spea kwa sasa sio shida tena zinapatika

kikubwa inatakiwa kama unapesa na roho yako inataka ku push benz chukua mkuu kwan ni gari ya heshima kwa kweli. TUSIKARIRI GARI NI TOYOTA TU,

NAWAKILISHA
 
Experience ya kumiliki Mercedes au kununua toka South Africa?
Sijawahi miliki Benz ila binamu yake vw nimemiliki.Gari ya mjerumani unatakiwa uwe na Pesa ya uhakika ya spare parts na service,pia usipeleke kwa mafundi uchwara.Ikizingua peleka kwa mafundi wanao zijua hapo utaifurahia.

Kihusu kununu gari South Africa sijawahi ila niko hapa kwa sasa na najua gari nzuri za miaka ya karibuni ni cheap kuliko Japan ila lazima ujue wapi kwa kuzipata.Spare parts za kila aina zinapatikana hapa kwa bei ya chini tu.Uzuri wa gari za hapa ni kwamba unanunua imesajiliwa una drive mpaka tz ushuru unaweza lipa baada ya miezi miwili au mitatu wakati unalitumia.
 
Sijawahi miliki Benz ila binamu yake vw nimemiliki.Gari ya mjerumani unatakiwa uwe na Pesa ya uhakika ya spare parts na service,pia usipeleke kwa mafundi uchwara.Ikizingua peleka kwa mafundi wanao zijua hapo utaifurahia.

Kihusu kununu gari South Africa sijawahi ila niko hapa kwa sasa na najua gari nzuri za miaka ya karibuni ni cheap kuliko Japan ila lazima ujue wapi kwa kuzipata.Spare parts za kila aina zinapatikana hapa kwa bei ya chini tu.Uzuri wa gari za hapa ni kwamba unanunua imesajiliwa una drive mpaka tz ushuru unaweza lipa baada ya miezi miwili au mitatu wakati unalitumia.
MKUU EBU TUBIA BEI ZA HIZI GARI HUKO SOUTH AFRICA, NA UFAFANUE KIDOGO KUHUSU KULIPA USHURU BAADA YA MIEZI MIWILI, NA JE UNATAKIWA UWE NA NYARAKA ZIPI ILI UPATA MSAMAHA WA HIYO MIEZI
 
Kwanza kiongoz heshimu hisia zako, kama umeipenda hii gari chukua kwan ni gari nzuri na imara sana, kuhusu mafuta jitahidi kuchukua isiyozid cc2000,

na kwa uimara ni gari imara sana kwan aina magonjwa mengi kama baadhi ya magari ya kijapani

kwenye spea hapa kidogo zimechengemka kidogo, ila ukifunga ni mkataba ukilinganisha na hizi za magari mengiene na upatikanaji wa spea kwa sasa sio shida tena zinapatika

kikubwa inatakiwa kama unapesa na roho yako inataka ku push benz chukua mkuu kwan ni gari ya heshima kwa kweli. TUSIKARIRI GARI NI TOYOTA TU,

NAWAKILISHA
Asante sana mkuu.. I salute
 
Chaguo zuri sana kwa kweli hutajuta ni gari ya uhakika ila inakunywa mafuta lakini kama umeipenda ni lazima una income nzuri
Nilipewa zamani kazini kama usafiri wangu na kusema la haki Benz ina heshima yake

Go for it
 
MKUU EBU TUBIA BEI ZA HIZI GARI HUKO SOUTH AFRICA, NA UFAFANUE KIDOGO KUHUSU KULIPA USHURU BAADA YA MIEZI MIWILI, NA JE UNATAKIWA UWE NA NYARAKA ZIPI ILI UPATA MSAMAHA WA HIYO MIEZI
Gari inatoka hapa kuja Tanzania na usajili wa South Africa,mtu anaingia nayo kama amekuja kutembea kwamba itatoka kurudi SA tena.Mpakani unapewa kibali cha siku 60 may be hadi 90 sometimes. Ukiingia nayo unaendela kuitumia ukiwa tayari unalipia ushuru ili isajiliwe Tanzania, Wote wanaonunua gari huku wanafanya hivyo isipokua gari mpya.

Bei za mitandaoni SA ni ghali ,watu wana nunua kwenye minada,show rooms ambazo mara nyingi hawana websites na pia kuna gari za insurance.Gari imepata ajali labda ni Toyota Hillux ya 2017 mtu ana weza nunua kwa m10 hadi 20 ,matengenezo m10 ambapo wanaswap parts ,inapigwa rangi kama ya kiwandani 100%.Unakuta kwa m25 hadi 30 mtu anaendesha gari ya mwaka jana.
 
Chukua ya south Africa unatoka nayo uanendesha mpaka dar.Border unaomba kibali cha miezi miwili unaendelea kuitumia huku ukitafuta hela ya ushuru na Vat.
Mkuu I wish nikuone unipe hii shule kweli kweli.. manake nilikuwa na browse Benz nikaona web moja hivi ya S.A wanazo nzuri sana..
 
Back
Top Bottom