Mkulima2002
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 291
- 211
Salaam Wakuu wangu, natumaini wote mko vema na mnaendelea salama na ujenzi wa Taifa Tanzania.
Natumaini Kama si wote basi baadhi yenu mnauzoefu na ujuzi japo kwa kiasi fulani juu ya vyombo vya moto {hapa nimelenga zaidi magari}
Wandugu mimi ni mpenzi wa Gari aina ya Gari aina ya Mercedes Benz C- Class sasa wakuu naombeni ushauri juu ya hii gari:-
1} Changamoto zake katika uendeshaji/umiliki
2} Utunzaji
3} Utumiaji wa mafuta
Na pia kama kuna kingine tujuzane kwa faida ya wote wenye ndoto hii.
Asanteni wakuu.
Natumaini Kama si wote basi baadhi yenu mnauzoefu na ujuzi japo kwa kiasi fulani juu ya vyombo vya moto {hapa nimelenga zaidi magari}
Wandugu mimi ni mpenzi wa Gari aina ya Gari aina ya Mercedes Benz C- Class sasa wakuu naombeni ushauri juu ya hii gari:-
1} Changamoto zake katika uendeshaji/umiliki
2} Utunzaji
3} Utumiaji wa mafuta
Na pia kama kuna kingine tujuzane kwa faida ya wote wenye ndoto hii.
Asanteni wakuu.