Kwanza kabisa hii ulioweka sio ya 2004 hii ni ya 2007 na kuendelea C class known as W204.Habari wakuu, Kuna jamaa yangu anahitaji kuagiza Gari hii Mercedes Benz C200 Compressor ya Mwaka 2004. Sasa tumeulizia kwa fundi mmoja anasema jamaa asinunue hiyo gari sababu ni mbovu sana na kwamba Cylinder Head yake ni ya Alluminium hivyo imitokea gari imechemsha mara moja tuu basi ndio mwisho wake.
Sasa najua humu kuna wataalamu wa Magari, naomba msaada wa ushauri au iwapo kama kuna Option nyingine na Mercedes ambayo itafaa kwa Mazingira ya Bongo haswa matembezi ya weekend na trip chache mkoani.
CC: RRONDO , Extrovert
View attachment 1953751
View attachment 1953752
View attachment 1953753
View attachment 1953754
Hahahaha...Poa Mkuu nimekusoma.Kwanza kabisa hii ulioweka sio ya 2004 hii ni ya 2007 na kuendelea C class known as W204.
Ya 2004 zilianza 2000-2005 known as W2003.
Nasema kifupi tu huyo fundi wako ndio mbovu. C class za 2004 ni gari ngumu sana na engine yake inayojulikana kama M271 ndio ipo kwenye W204 mpaka za 2011 kama ingekuwa na shida hio engine ingeishia mwaka 2005 tu.
Mwambie tu rafiki yako hii ni Mercedes Benz sio Mark X au Premio akija kuambiwa set ya front shocks 800,000/- asije kuanza kulialia.
HahahahaMercedes Benz na BMW na Audi ni Gari madhubuti kabisa ila kwa hapa bongo mafundi mashikio(hutumia masikio yao kujua tatizo). Na sio kufanya diagnostic ya computer atakwambia ukitaka kununua Gari wewe nunua Toyota tu. Kumbe Toyota ndio gari anayoijua kuitengeneza na vifaa vyake vimejaa kila kona. Kama rafiki yako pochi nene mwambie hio mashine murwaaa lakini kama maisha ya mchuzi manjano mwambie asinunue.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hahah wazee wa mafundi hamna na spea bei ghali hao sio. Jini hilo. Ndoa ya kikristo.Kwanza kabisa hii ulioweka sio ya 2004 hii ni ya 2007 na kuendelea C class known as W204.
Ya 2004 zilianza 2000-2005 known as W2003.
Nasema kifupi tu huyo fundi wako ndio mbovu. C class za 2004 ni gari ngumu sana na engine yake inayojulikana kama M271 ndio ipo kwenye W204 mpaka za 2011 kama ingekuwa na shida hio engine ingeishia mwaka 2005 tu.
Mwambie tu rafiki yako hii ni Mercedes Benz sio Mark X au Premio akija kuambiwa set ya front shocks 800,000/- asije kuanza kulialia.
Kabisa Mkuu, naona wengi wanaotoa ushauri wa kukatisha tamaa ni mafundi uchwaraBenz ni gari ukiweza kununua nunua tuu sio ya kuuliza uliza wachimbachumvi watakukatisha tamaa kwa kitu ambacho hawakijui kabisaa...Benz parts zake ni imara na inachukua muda mrefu kuharibika kwa vitu vingi sio kama magari mengine hata parts zake zinapokua bei ipo juu inakuwa imeumika kweli maana hawana magumashi hao na pia umeme sio mwingi kuwa utaikuta imezima inasubiri mafundi wa kucheki...Benz ni moja ya gari zina Comfort ya kipekee sana pamoja na balance haichezi bara barani hata kwenye kona kali inakua kama imenasa road hivi..
Nikusaidie kuweka sawa. Inabidi uwe na akili ukiwa na hizo gari. Otherwise pole sana.Ukweli ni kwamba Mercedes Benz, Volkswagen, BMW, Audi sio gari nzuri ikiwa hauna uzoefu wa magari, utapigwa na mafundi kajanja na hata wanaweza kukuharibia gari labda uweze kwenda kwa official service centre kama CFAO Motors, Noble Motors ambapo tatizo dogo tu unaweza kujikuta umetoa 1m ...lakini ukiwa mzoefu spare parts unaagiza mwenyewe na vitu vidogo vidogo unafunga mwenyewe au unamsimamia fundi kabisa asije akafanya makosa
Kama Mmiliki naunga mkono hoja. Awakwepe sana wachimba chumvi na watu wa Toyota.Benz ni gari ukiweza kununua nunua tuu sio ya kuuliza uliza wachimbachumvi watakukatisha tamaa kwa kitu ambacho hawakijui kabisaa...Benz parts zake ni imara na inachukua muda mrefu kuharibika kwa vitu vingi sio kama magari mengine hata parts zake zinapokua bei juu inakuwa imeumika kweli maana hawana magumashi hao na pia umeme sio mwingi kuwa utaikuta imezima road yenyewe inasubiri mafundi wa kucheki...Benz ni moja ya gari zina Comfort ya kipekee sana pamoja na balance haichezi bara barani hata kwenye kona kali inakua kama imenasa road hivi...Mercedes-Benz
Hii kauli yako ni generalization mbaya sana. Kuna Benz nyingi sana hapa Tanzania na asilimia 99% ya parts wananunua hapa hapa TZ. Spare high quality zipo na bei stahiki utapata, labda wewe hujui. Tupo tunaagiza from Germany, UK. Dont generalize kwasababu umekutana na makanjanja wa Ilala na madalali.N.B Usije kununua spare ya Merc hapa Bongo. Jamaa watakupiga mara 4 au 5 ya bei halisi tena spare parts zenyewe mafamba ya Dubai. Na hawakuuzi the best brands watakuuzia viBrand uchwara kwa bei kubwa.....mwambie nataka Brake Pads za Brembo au ATE Ceramic atakuambia set milioni.....kisa kaona huna akili anataka akupige
Google hizo labda utaacha kutoa kauli za jumla jumla na dharauNikusaidie kuweka sawa. Inabidi uwe na akili ukiwa na hizo gari. Otherwise pole sana.
N.B Usije kununua spare ya Merc hapa Bongo. Jamaa watakupiga mara 4 au 5 ya bei halisi tena spare parts zenyewe mafamba ya Dubai. Na hawakuuzi the best brands watakuuzia viBrand uchwara kwa bei kubwa.....mwambie nataka Brake Pads za Brembo au ATE Ceramic atakuambia set milioni.....kisa kaona huna akili anataka akupige
Spare agiza mwenyewe. Siku tatu tu DHL Express mzigo umefika tena Genuine from Europe.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sio ujuaji mzee baba. Zile zama za fundi ndio kila kila kitu zimepitwa na wakati.Hii kauli yako ni generalization mbaya sana. Kuna Benz nyingi sana hapa Tanzania na asilimia 99% ya parts wananunua hapa hapa TZ. Spare high quality zipo na bei stahiki utapata, labda wewe hujui. Tupo tunaagiza from Germany, UK. Dont generalize kwasababu umekutana na makanjanja wa Ilala na madalali.
Halafu nikwambie kitu hakuna sehemu yenye spare fake kama mitandaoni ila ndio hivyo kila mtu akishajua ebay anaona kamaliza. Ebay every tom and dick anaweka parts zake na wengi wanaweka wanazonunua China. Kitu nilichokiona wamiliki wengi wapya wa hizi Euro makes wana ujuaji mwingi na huwa wanaangukia pua.
Hizi zote ulizoonesha picha ukiingia AUTODOC na TRODO etc unazipata kwa bei nzuri na delivery ya uhakika. Bro nakuambia from experience.Google hizo labda utaacha kutoa kauli za jumla jumla na dharauView attachment 1954393
Hakuna service ya kukufikishia mzigo siku tatu. Hata DHL inazidi siku tatu. Huko unakoagiza wewe Sisi tushaacha tunanunua kutoka kwa manufacturers. Hata hizo bei za hao unawaagiza ni kubwa kwasababu na wao wanaweka mark up.Sio ujuaji mzee baba. Zile zama za fundi ndio kila kila kitu zimepitwa na wakati.
Wabongo wengi siku izi wamepita pita shule kwaiyo wanajua mambo zinavoenda.
Halafu mimi siongelei kuagiza spare ebay.
Hapana kuna sites reliable kabisa spare ni genuine.
Mfano: AUTODOC na TRODO hawa jamaa wanauza spare parts genuine kwa bei reasonable na uhakika. delivery 3 days.
Spare parts za Dubai ziendelee kuuzwa waliochelewa kuja mjini.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mimi nilinunua Mercedes miaka hiyo ya 2010 hata bila kumuuliza mtu na nilitumia mpaka nikabadili toleo lingine nalolitaka tena nimerudi kwenye Ford ila ntarudi huko tena tukijaaliwa hasa kwenye ile Pick up yao ya Mercedes X nimeielewa sana hizo gari ni kuzingatia miaka ya karibuni tuu isiwe imetumika sana...Kabisa Mkuu, naona eengi wanaotoa ushauri wa kukatisha tamaa ni mafundi uchwara