Mercedes Benz C200 Compressor

Mercedes Benz C200 Compressor

Na changamoto za TRA, Ngoja nijipange nitafute huyu mnyama. Shida TRA wana peg kodi kwenye dollars. Na hii shilling yetu inavyodondoka kila siku, mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi wa kawaida.
Sema Ford ranger na Nissan hazina kodi kubwa sana kama Toyota ni kupambana nao tu..
 
Ngoja tupambane tuu. Mwisho wa siku lazima maisha yasonge.
Mkuu changamoto na TRA ni kawaida kwa wafanyabiashara sio peke yako tu muda mwingine wanafunga Tin bila sababu mpaka utoe maelezo ya magari uliyoleta na gari kodi zimeshalipiwa kwa hiyo tushawazoea hao jamaa...lengo lao sio kodi yako ni kukukwamisha tu.
 
Back
Top Bottom