Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Kule si Unyamwezini ni Ulaya.Huko hakuna ngombe na punda wanaokula majani pembezoni mwa barabara
Kudadadeki, naona Mnyamwezi anavyotaabika na magari ya mwaka 1922. Si ni screpa hiii jamani?
wala bodaboda, bajaji na mabasi ambayo unayakuta yamejipachika ghaflaHuko hakuna ngombe na punda wanaokula majani pembezoni mwa barabara
Mbona halitaenda kabisa...barabara mashimo gari itadetect hatari tupuArtificial Intelligence, hayo magari Yana uwezo mkubwa wa kugundua hatari mbalimbali
La kubebea mizigo airportMbona halitaenda kabisa...barabara mashimo gari itadetect hatari tupu
SAY WHAT?