Mercedes Benz G-class hii machine imesimama balaa

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,647
Reaction score
9,604
Huyu mnyama kasimama balaa its my dream car but bei yake mkasi kinoma.
Ngoma ya 1997 mailage inasoma 154,000 km cc3100+ price inagonga $25,000

Za kuanzia 2003 ngoma inaanzia $34,000 kudadeki. Hii ngoma ukiikalia heshima debe ila tataizo mkwanja kaka. Its my dream car but I surender.
German machine
 
Mkuu unaijua dollar 3000?
Mkuu jeep zilizotumika hazina bei ila hizo Wrangler za miaka ya karibuni zipo juu ila kwa jeep sijui ya miaka ya 2005 mpaka 2009 utaipata kwa bei ndogo hizo Wrangler kuanzia 2015 kuja juu zimesimama sana na bei yake haishikiki...
 
Mkuu jeep zilizotumika hazina bei ila hizo Wrangler za miaka ya karibuni zipo juu ila kwa jeep sijui ya miaka ya 2005 mpaka 2009 utaipata kwa bei ndogo hizo Wrangler kuanzia 2015 kuja juu zimesimama sana na bei yake haishikiki...
Nadhani ataacha kelele mana anapima msuli wa Mercedes G-Class na Jeep Wragler
 
Benz ni status car. Kama apple products.

Hapo unalipia na gharama za kumiliki brand.
Sure maana kama ni ubora sio kwa kutoa $ 25,000 gari ya 1997 miaka 22 iliyopita isitishe maiage inasoma 150,000 km!
Hapa ulipia brand sio bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…