Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mnyama wa ukweliNi mambo ya usasa tu ila kwangu mimi ni bora hii...View attachment 1214762View attachment 1214763View attachment 1214765View attachment 1214766
Wrangler au?Jeep wametoa kitu matata sana hivi karibuni!!! Hamna wamarekani humu?
Wrangler au?
Mimi napenda gari zilozopanda hewani na zina mwonekano flani wa kibabe.
Kama trekta.
Mimi mwenyewe sijaelewa.Brabus na Mercedss G-clasa za kawaida zina utafauti gani mkuu?
So unahisi Mfano:Bmw 3-series ni sawa na bmw M3?Mimi mwenyewe sijaelewa.
Maana ninavyojua hapa ni swala la mwaka iliyotoka.ni sawa na kusema hii ni brabus ya 1997.
Sawa,hii ni kampuni moja ila matoleo tofauti.So unahisi Mfano:Bmw 3-series ni sawa na bmw M3?
Hebu search Mercedes G-class 550 kama ni sawa Mercedes G63 AMG.
[emoji1][emoji1][emoji1]ukikutana na TRA wanakuchapa kodi 250mln kilanga chote vuuu.Hiyo ni ya 1997 mkuu ya 2018 inasoma mil 400+ kabla ya kodi
Brabus ni kampuni ya nje tu ambayo huzifanyia mabadiliko Benz original then wanapachika lile logo lao la B.Sawa,hii ni kampuni moja ila matoleo tofauti.
Ila huku kwenye benz scenario ni tofauti kidogo,embu nipe hiyo G class ya mwaka 2017,nilinganishe na brabus ya mwaka 2017,labda kuna kitu nitaelewa zaidi.
Benz original ambazo g class si ndio???Brabus ni kampuni ya nje tu ambayo huzifanyia mabadiliko Benz original then wanapachika lile logo lao la B.
Nenda Ndanda, Masasi, ziko nyingi tuu.Huyu mnyama kasimama balaa its my dream car but bei yake mkasi kinoma.
Ngoma ya 1997 mailage inasoma 154,000 km cc3100+ price inagonga $25,000
Za kuanzia 2003 ngoma inaanzia $34,000 kudadeki. Hii ngoma ukiikalia heshima debe ila tataizo mkwanja kaka. Its my dream car but I surender.
German machineView attachment 1211905View attachment 1211906View attachment 1211906View attachment 1211940
NdioBenz original ambazo g class si ndio???
Nilisoma hapo, zipo kibao tena zile old school.Nenda Ndanda, Masasi, ziko nyingi tuu.
Dah! Yani ww kama mimi mjuba mi mwnyw napenda "loader" a.k.a TingatingaMimi napenda gari zilozopanda hewani na zina mwonekano flani wa kibabe.
Kama trekta.
Range n pale office za ccmAlishuka kwny Landrover defender boss.
Pale office za Ccm alikuja na hio Range,kule mahakamani alikuja na defender.
Sure maana kama ni ubora sio kwa kutoa $ 25,000 gari ya 1997 miaka 22 iliyopita isitishe maiage inasoma 150,000 km!
Hapa ulipia brand sio bure
Benz ni status car. Kama apple products.
Hapo unalipia na gharama za kumiliki brand.