Naona Mnyama GT-R r34 vs r32.
Sipati picha hiyo ndinga unafanya nayo Safari ya dar - Mwanza.....nahisi nitapigwa vyeti kama 10 hivi vya speed limit
Sure maana kama ni ubora sio kwa kutoa $ 25,000 gari ya 1997 miaka 22 iliyopita isitishe maiage inasoma 150,000 km!
Hapa ulipia brand sio bure
Ni mambo ya usasa tu ila kwangu mimi ni bora hii...View attachment 1214762View attachment 1214763View attachment 1214765View attachment 1214766
Hatari sana hiki chuma.. hata bei zake zimesimama haswaaa 😀😀😀Naona Mnyama GT-R r34 vs r32.
US Kwenyewe wakiona hizi machine barabarani hua wanaenda kuishangaa hio gari,utasikia is this car a Skyline GT-R?Is it legal in US?Hahah car enthusiast hicho chuma wanakijua vizuri.
Daah bei zake hua zimesimama hatari sana mkuu,hicho chuma popote pale dunia kina heshima kubwa saaaaaaana.Hatari sana hiki chuma.. hata bei zake zimesimama haswaaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Sio sawa na toyotaHii ni kama ya jamaa tu ...kilichofanyika hapa ni kui upgrade hakuna manufacturer wanatoa gari hivo...hapo wamedizaini kivingine bonet wakanyanyua ,new tires, new mkonge, ila mileage ni miaka ya shetani pia utakuta ni gari ya zaman sana hiyo
Sio sawa na toyota
Hii hapa ya 1989.. kabei kake utakapenda mwenyewe 😀😀.. mng'atoHii machine sikua naifaham.... Chuma cha 1990 bei imesimama kiasi hicho?
Ona mdudu huyu utampenda mwenye, huko miaka ya mbeleni nabeba mwali kama huu, japo haitokuwa kazi rahisi mng'ato Mshana Jr Extrovert Offshore Seamen Boeing 747 RRONDOHii machine sikua naifaham.... Chuma cha 1990 bei imesimama kiasi hicho?
Da manina kitu imepikwa ikaiva kisawasawa,jamaa kaivika dundo la maanaNi mambo ya usasa tu ila kwangu mimi ni bora hii...View attachment 1214762View attachment 1214763View attachment 1214765View attachment 1214766
Jeneza hilo mkuuOna mdudu huyu utampenda mwenye, huko miaka ya mbeleni nabeba mwali kama huu, japo haitokuwa kazi rahisi mng'ato Mshana Jr Extrovert Offshore Seamen Boeing 747 RRONDO
Bavaria
FRANCIS DA DON
View attachment 1431228
Jeneza hilo mkuu
Mkuu hii mashine ni habari nyingine, ukiisikia inalalamika lazima utoke nje kuiangalia.Ona mdudu huyu utampenda mwenye, huko miaka ya mbeleni nabeba mwali kama huu, japo haitokuwa kazi rahisi mng'ato Mshana Jr Extrovert Offshore Seamen Boeing 747 RRONDO
Bavaria
FRANCIS DA DON
View attachment 1431228
Jeneza hilo mkuu
Mkuu hii mashine ni habari nyingine, ukiisikia inalalamika lazima utoke nje kuiangalia.Ona mdudu huyu utampenda mwenye, huko miaka ya mbeleni nabeba mwali kama huu, japo haitokuwa kazi rahisi mng'ato Mshana Jr Extrovert Offshore Seamen Boeing 747 RRONDO
Bavaria
FRANCIS DA DON
View attachment 1431228
Mkuu hii chombo sijaishuhudia ikiliza zezeMkuu hii mashine ni habari nyingine, ukiisikia inalalamika lazima utoke nje kuiangalia.
Wazungu wanaiheshimu sana.