Mercedes Benz G-class hii machine imesimama balaa

Hapo bado unasubiriwa na 5500CC petroli halafu unakuta tank lake la mafuta ni 100 Litres hahaha nusu tank ni full tank ya IST
 
Wenye uzoefu na hii gari BMW X1 naomba wanipe uzoefu wao, nataka kujilipua niidake. Vipi upatikanaji wa spea zake, uimara wake nakadharika. Naziona zipo nyingi sana mtaani lakini ningependa kujua kabla sijajilipua. Naikubali sana hii ndinga japokuwa so far wameni-disappoint ni two wheel drive.
 

Attachments

  • BMW X1.jpg
    15.3 KB · Views: 9
gari kama kabati la vyombo, sijui watu wanalipendea nini
 
Jamaa umeandika kwa huzuni sana najua hapo hata mlo wa mchana hujui utaupataje laki ghafla picha ya hiyo benzi imekuja ghafla kichwani mwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…