Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ila hapa ni Kenya sio bongo na hiyo gari naionea huruma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hapa ni Kenya sio bongo na hiyo gari naionea huruma sana
😁😁😁ila itapona?Gari ya mdada hio wanatafuta sifa tu hao.
Fundi wako poa umtafute aseeNikipata pesa nitanunua Benz
Soltape nyingi zisigusane😁😁wanasemaga kata unga direct😂😂
Kupona majaliwa😁😁😁ila itapona?
Hapo ni mwendo wa tester tu😁😁Nguvu kidogo na akili nyingi zinahitajika hapo, laptop moja yenye software husika itafanya diagnosis haraka na kwa usahihi..
Haaaa unawateteaHamna bwana hapo mafundi wakuu wa hiyo gari ni wawili au mmoja. Hao wengine ni wanafunzi
😁😁😁Labda kuna mjusi alibanwa wanaangalia jinsi ya kumtoa
😁😁wanafanya cercerian sectionJopo la madaktari
Bm uchawi ni sensorBMW ni bora kuliko Mercedes. Mercedes zina hitiøafu nyingi zikiwa mpya na zero kilometers ukilinganisha na BMW.
Arusha nasikia kuna mafundi wa Benz, service itakuwa ni ArushaFundi wako poa umtafute asee
Hapo sio gereji boss..angalia mazingira..gar imezima, chap kwa haraka wakajazanaWatu mna mawazo hasi tu mda wote!
Hamjawaza huenda mwalimu anawaelekeza kitu wanafunzi wake na huko kubanana ni kutokana na engine bay kuwa ndogo...
Haa na land cruiser ni alpha maleMercedes ni mwanamke aka feminine. BMW ni mwanaume aka masculine.
😁😁Kama mwenyewe boya, basi akikubali kuilaxa tu wanamfungia injini ya corola
Range Rover Vogue ni demu kwa Cruiser. Cruiser ni apex SUV hana mshindani hata kwa MjerumaniHaa na land cruiser ni alpha male
Sababu ipi is iwe tz?Mazingira siyo ya tanzania