Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Soko la Pick-up lazidi kupamba moto baada ya VW kuja na Amarok, sasa Mercedes-Benz nao wameamua kujichanganya kwenye hilo soko na kuja na Model mpya kabisa ijulikanayo kama X-Class, hawa wote wanashindana na mnyama wa siku nyingi kwenye hii nyika, Toyota Hilux!
Kwa wale watu wa kwenda porini mnaweza kupendelea version ya X-Class hii hapa chini!
Kwa wale watu wa kwenda porini mnaweza kupendelea version ya X-Class hii hapa chini!