Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FaizaFoxy na nukuhu yakeShaka yako sisi inatuhu?
Inatupunguzia au kutuongezea nini?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
the world's most expensive pick upKitu 6 wheel drive, acha kabisa
mmmh sijui kama kauli yako ina ukweli labda kwa aina ya benz ambazo ni ghali sana lakini bei ya benz ujerumani ni kawaida sn na nyingi kule ni TAXI. Labda washangae kuwa zinauzwa mpk huku. Nilikaa sana huko German na nilinunua Benzi Euro 2700 ambayo kwa Bongo kila nilipokuwa nakatiza watu walikuwa wanashangaa wakati bei yake ni ndogo tu kwa kule Germany so sijui kwa nn washangae mtu kumiliki huku kwetuBenz gari za heshima sana, kuna Wajerumani wakija Africa wakiona Benz lazima akuulize huyo mwenye hiyo gari ana utajiri gani?
Thubutu Yao!baiskeli yenyewe inawatoa jashoKwahiyo CCM watajenga kiwanda cha kuzalisha Benz?
ford ranger umbo ndio zuri, kwenye mashimo inarusha balaa, na kama hujapakia mzigo nyuma upo rough road utakoma nayo.Me navoiona ii kitu Iko tu kama hillux. Except uglier..especially hiyo grill ya mbele. Asee Ford Ranger Wildtrak ndo kila kitu.. kwa 52,000$ tu unapata 4×4 ya uhakika.. Ukipita kwenye yale makorongo ya Toure drive au baadhi ya barabara za Mikocheni hausikii kitu..