dah umenikumbusha mbali mshua kitambo alikuwa nacho iko cha njanoSi kweli, jionee, Mercedes Benz pickup toka zamani sana wanazo labda waliacha kutoa kwa muda fulani tu lakini si kuwa ni "mara ya kwanza".
Kumbe hata humu upo!..Si kweli, jionee, Mercedes Benz pickup toka zamani sana wanazo labda waliacha kutoa kwa muda fulani tu lakini si kuwa ni "mara ya kwanza".
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]haya ndio mambo yanakufaa sio siasa za ccm.
swissme
Si kweli, jionee, Mercedes Benz pickup toka zamani sana wanazo labda waliacha kutoa kwa muda fulani tu lakini si kuwa ni "mara ya kwanza".
Vipi siasa za Chadema/UKAWAhaya ndio mambo yanakufaa sio siasa za ccm.
swissme
NINA SHAKA NA HIYO AVATAR, NA SIJAANZA LEO!
Shaka yako sisi inatuhu?
Inatupunguzia au kutuongezea nini?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?