Mercedeze benz Irizar i6 ya Azam

Mwaka 1997 nilipanda Trunslux double deka kutoka Cape town mpaka Gabs, ni miaka 20 na kitu iliyopita, mpaka leo hatuna doble deka Tanzania.

Alijaribu mwenye mabasi ya Buffalo alileta moja lakini inaonekana alichemka sijaons tena double deka luxury coach Tanzania.

Nashangaa sana hata mradi wa mwendo kasi wameshindwa kuleta mabasi ya double deka ili kubeba watu wengi, Johannesburg naona yapo yanatumika sana kama London bus.
 
Sheria za Tanroad haziruhusu double decker Tanzania pamoja na nchi nyingine za hapa Africa mashariki.
 
Sheria za Tanroad haziruhusu double decker Tanzania pamoja na nchi nyingine za hapa Africa mashariki.
Mhh hivi ni kweli sheria hairuhusu maana double decker hazid kimo cha 4.6meter ambacho ndo double decker zinapoishia
 
Sheria za Tanroad haziruhusu double decker Tanzania pamoja na nchi nyingine za hapa Africa mashariki.
Sheria siyo msaafu, ni juzi mama Chifu Hangaya amepunguza tozo za mafuta na amemuagiza waziri kama kuna zenye ambazo sheria yake mpaka itenguliwe na bunge waziri apeleke muswada bungeni haraka.

Huna point. Je lile basi la Buffalo lilikuwa kinafanya safari zake Dar Arusha walikuwa wanatumia sheria ipi?
 
Ile ya buffalo haikua double decker bali ilikua na extended roof halafu single diff. Kuna basi ya Zambia inaitwa wada chovu ilikua na extended roof huku chini ni terrias,kila ilipofika tunduma ilikua lazima iwekwe bango la abnormal mpaka dar.
 
Ile ya buffalo haikua double decker bali ilikua na extended roof halafu single diff. Kuna basi ya Zambia inaitwa wada chovu ilikua na extended roof huku chini ni terrias,kila ilipofika tunduma ilikua lazima iwekwe bango la abnormal mpaka dar.
Tatizo ni nini?
 
Hili basi nimeliona sasa hivi hapa kabwe...aisee hii mashine kweli ni ndege ya ardhini.
 
Daah sawa sawa hapa mradi wamepeana wenyewe ndio maana unaona unawashinda..
 
Leo muda huu ndo hii chuma nimeiona live pande za mbagala misheni hapa...aisee ni bus inayovutia kweli wazee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…