Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Nafikiri ni hekima kukaa kimya kama huna la kuongea kwenye umma wazee
 
.. Bro Uzi wako. Nimeukubali Sana it true future is exciting... let's be prepare
 
Mkuu nashangaa mnamshambulia ONTARIO kwa kusema hivi labda kwa sababu ni mwamfrica mwenzetu, lakini hili jambo linasemwa mara nyingi sana na Steven Hawking na bado anaendelea kuliamini hata leo ukimuuliza bado atalisema. (bado utaniuliza stephen hawking ni nani). Japokuwa sio kwamba nakubaliana nae ila ukiona mtaalamu kama hawking anasema kitu lazima ukifikirie mara mbili mbili.
 
Sijajua profession yako lkn kwa computer sientist atakukatalia, nisawa useme Gari au ndege itaenda ambako mwanadamu hakujui. Hvyo ni vitendea kaz tu, i mean vinakisaidia kwenye quantity, speed, aquracy, mamory nk. Comp haiwez fanya kitu ambacho mwanadamu hakijui. Comp inakua instructed ndo maana kuna coding. Fb, jf, inster, windows, calculater, games, robot nk ni kaz za watu sema uwezo wetu ktk tcholojia ni mdogo ndo maana tunaishia tunashangaa hata huyo Mark wa facebook nialikuwa student tu wakati anafanya hzo project zake, kunawaofanya mambo makubwa huyo mark anaonekana fala, huko china, urusi kuna mambo ya miujiza watu wa akiri aisee, cc tunaishia kupost tu hapa jf
 

Mkuu hizi nyingine kama chai hivi! [emoji23][emoji23]
 
Na ndoo maana afrika haita kaa iendelee kama ndo ivi tunasema
 
Apa ukimwambia mzazai nataka kusomea ayo mambo anasema nini hicho hakina ata ajira... Sme ichi au somea kile... Sasa sjui hioo ajira anayoiona yeye sjui annaionea kwa wapi[emoji52]
 
Uongo mkubwa uliowahi kuongea ww bwana Ontario ni kua "Eti kuna machine ya 3D inayatumika kuprint nyumba, so baada ya miaka kama 20 watu watakua wanafyatua nyumba kwenye mashine"

-Tera La Vista
Kwani nini ambacho kinashindikana... Kama kuna 3D printers za vikombe na magari then swala la nyumba si kutengeneza 3D printer kubwa tu ? Au kutengeneza parts ndogo ndogo then znafanyiwa assembling [emoji16]
 
We endelea na entrepreneurship yako watu tunapoelekea saivi ioo kitu ya kustruggle saana inakuja zngua, ushaskia kuhusu AI sasa ishue ya kutumia akili sana inakuja potea kiutani utani
 
Kwani nini ambacho kinashindikana... Kama kuna 3D printers za vikombe na magari then swala la nyumba si kutengeneza 3D printer kubwa tu ? Au kutengeneza parts ndogo ndogo then znafanyiwa assembling [emoji16]
Umewaza vyema mkui
 
Wadau,ikifika Wakati Wa Tuition Ya Kudownload Nyumba,mnishtue Nina Maeneo Potential Kariakoo,magomen,kinondoni,tukumbukane Jamani Kizuri Kuwa Na Wenzio
 
Narekebisha Kauli Siyo Kudownload Ni Kuprint,tuition Iwe Jangid Au South Africa Nitahudhuria Tu
 
Wadau,ikifika Wakati Wa Tuition Ya Kudownload Nyumba,mnishtue Nina Maeneo Potential Kariakoo,magomen,kinondoni,tukumbukane Jamani Kizuri Kuwa Na Wenzio
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bukoba Boy Hujanielewa,nlivyosoma Nikagugo Na Hicho Ulichoweka Nimekiona,unafkr Tz Itafika Lini?L
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…