Meremeta 00:00:00. EXTRA

Status
Not open for further replies.
Mkuu MKJJ

Indeed we can see light at the end of the tunnel. Keep it up.
 

Mkuu mimi naamini kwanza hata gharama aliyoitoa kama kweli wewe ni mzalendo ni ndogo sana kumbuka amepata taarifa ameziweka kwenye kitabu/kijarida vyote hivyo vinagharama zake sasa kuchangia gharama hizi kwa manufaa ya taifa wewe unaona siyo sahihi.MKJJ amejitoa mhanga kwa ajili ya nchi yetu hilo pekee lilitakiwa tumpongeze.
 

hii inaitwa hekima.
 
....Mods kutokana na uzito wa habari hii naelekea kufikiri kikosi cha 'usalama' humu jamvini wamo Alert kwa lolote litakalotokea,kwa kipindi cha siku2hizi tutatembelewa sana humu ndani!!
**Ni mawazo binafsi tu!
 
....Mods kutokana na uzito wa habari hii naelekea kufikiri kikosi cha 'usalama' humu jamvini wamo Alert kwa lolote litakalotokea,kwa kipindi cha siku2hizi tutatembelewa sana humu ndani!!
**Ni mawazo binafsi tu!


you have no idea mambo yaliyotokea siku hizi chache..mengine yanachekesha na kuudhi kwa wakati mmoja.
 
Buuu...haya wajameni this is all what I have....🙁
 

Attachments

  • Meremeta.jpg
    55.1 KB · Views: 110
password: meremeta1997

MM,

Make sure you are cloned before the end of the week... You and your team a men and women of big and brave hearts

Tuombe uzima na hakikisha kuna MM na team ya consortium kila sehemu
 
Mkuu mwanakijiji, Mungu wa rehema akulinde na kukubariki kwa kazi nzuri unayolifanyia taifa letu, nasema asante sana.
 
Mkuu mwanakijiji, Mungu wa rehema akulinde na kukubariki kwa kazi nzuri unayolifanyia taifa letu, nasema asante sana.

Amen, awasute sute maadui zako, awaangamize kwa motona upepo wa kisuli suli, awagharikishe kama farao na jeshi lake walivogharikishwa kwenye bahari ya shamu!
 
Amen, awasute sute maadui zako, awaangamize kwa motona upepo wa kisuli suli, awagharikishe kama farao na jeshi lake walivogharikishwa kwenye bahari ya shamu!

nyinyi mnataka kuwatibua mafisadi sasa!
 
nyinyi mnataka kuwatibua mafisadi sasa!


Na watibuke tu ndo tuwajue..kabla kiboko hajachokozwa unaweza kudhani ni gogo liko kwenye maji ,, lakini tibua kidogo ndo utajua kama ni kiboko au gogo.

FYI, juzi niliangalia tena documentary ya mapanki, ili kuwa na background nzuri ya hii kitu....nakuhakikishia safari hii nimeielewa zaidi kuliko mwanzoni!
 

Napenda watu wanaopenda kuwiden their horizon.. sasa ukiipata ripoti yenyewe... utashika mikono yako kichwani huku ukijiondokea zako; na kama mfalme aliyenyang'anywa taji lake utatembea kichwa chini huku upanga wako unauburuta!
 
Wanaotaka hiyo kopi waifanyie kazi wathibitishe kuwa nia yao ni njema kwa kukupatia kwanza yao waliyoandaa ili mbadilishane. Ili uone kwanza kama inamuelekeo?? Kama hawajafanya kitu mpaka leo meaning hata draft basi ina maana hawaihitaji hiyo kopi.
 
Babu yangu mwanakijiji, uchanguzi unakaribia, je hauoni ni haki ya kila mtanzania kujua nini serikari iliyokuwepo zaidi ya miaka 30 imekilea? watu tuchangie kwa kujitolea kwa kazi yako nzuri uliyoifanya ila wape haki kila mtanzania kujua nini kinaendelea. Maana kila mmoja wetu tunauwezo wa kubadilisha kainchi ketu cha Tanzania, iwe kwa njia ya kuchagua raisi na chama tawala au kujitoa muhanga wa ajili ya maendeleo ya kila mtu na watu masikini.

Naelewa unaitaji kurecover cost ila pia watanzania wangapi hasa wapiga kura wenye uwezo wa kubadirisha raisi wa nje wanaweza kuafford?
 
nadhani sasa imefika t-1, au nyie bado mko jumatatu? "Houston...were a clear for launch." Engine zina moto tayari, launchpad imeshajiweka pembeni...twasubi: 00:00:00
 
you have no idea mambo yaliyotokea siku hizi chache..mengine yanachekesha na kuudhi kwa wakati mmoja.

Ungetupa preview ya hayo mambo mkuu. Kusudi wajue tuko katika mapambano na hii nchi sio ya baba zao, ina wenyewe.
 
Hili swala siyo dogo, ni kubwa, ni aibu kwa mafisadi na kwetu sote. Sasa hivi najisikia aibu sana ninapokutana na wakongo mitaani. Nitabakia mwenye kushangaa kama hakuna hatua zitakazo chukuliwa. Hivi bunge linamalizika lini?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…