Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyamizi, ni PM kwani ripoti naona sold out....
Tolu
Ina maana kweli tuishie kunusa tu? mie nimenunua vocha za Tsh 30,000/= ili nimtumie Max, kufungua computer nakutana na...... 00, sasa najiuliza ndio kweli na mie ntaishia kula kwa namna ya kipare? najiuliza nini maana haswa ya kuandaa nakala 100 tu wakati chakula chenyewe kinanukia uriuri mpaka mtaa wa saba? Nahisi kuna wanajamii hatutendewi haki
Huu ni wizi mtupu hakuna lolote hapa kama mna nia njema na umma wa watanzania toeni bure hiyo ripot hapa kwa forum mnapoomba fedha hivyo mnajionesha kuwa mu wafisadi kama wao tu no difference najua mtachukia mnataka sifa msizostahili.
Huu ni wizi mtupu hakuna lolote hapa kama mna nia njema na umma wa watanzania toeni bure hiyo ripot hapa kwa forum mnapoomba fedha hivyo mnajionesha kuwa mu wafisadi kama wao tu no difference najua mtachukia mnataka sifa msizostahili.
Phd umenena nimesikitika sana kwamba ripoti hiyo haina jambo jipya zaidi ya kunukuu taarifa mbalimbali kama zilivyowahi kuripotiwa na vyombo vya habari, vyama vya upinzani na mashirika ya wanaharakati. siyo kwamba napuuza ripoti hii lakini haikustahiriki kuuzwa kwa madai kuwa ni ya uchunguzi kwa kina. MZEE MWANAKIJIJI ni kama umejishushia hadhi kwa kuamua kuuza ripoti hii. Wengi tulisubiri kuona kitu kipya. I beg to differ.
Kutaka vya bure kila siku ni ufisadi mkubwa zaidi, zaidi ya ule wa kulipia kila huduma unayopata.Huu ni wizi mtupu hakuna lolote hapa kama mna nia njema na umma wa watanzania toeni bure hiyo ripot hapa kwa forum mnapoomba fedha hivyo mnajionesha kuwa mu wafisadi kama wao tu no difference najua mtachukia mnataka sifa msizostahili.
Yawezekana ndio tuliosikia wanaitwa uwt sasa wameanza kazi🙂Nimejaribu kufuatilia post zako hapa jamvini nikagindua una matatizo.
Nakushauri nenda JF doctor.
Phd umenena nimesikitika sana kwamba ripoti hiyo haina jambo jipya zaidi ya kunukuu taarifa mbalimbali kama zilivyowahi kuripotiwa na vyombo vya habari, vyama vya upinzani na mashirika ya wanaharakati. siyo kwamba napuuza ripoti hii lakini haikustahiriki kuuzwa kwa madai kuwa ni ya uchunguzi kwa kina. MZEE MWANAKIJIJI ni kama umejishushia hadhi kwa kuamua kuuza ripoti hii. Wengi tulisubiri kuona kitu kipya. I beg to differ.
Yawezekana ndio tuliosikia wanaitwa uwt sasa wameanza kazi🙂
Phd na Shapu mko sahihi kusema yaliyo moyoni mwenu lakini yote hayo nilikuwa nayategemea. sijawahi kumkosoa kijana wetu mzalendo wa kweli MZEE MWANAKIJIJI lakini najua kuwa ukithubutu kukosoa kazi zake ni vyema ukajiandaa na rungu zito toka kwa washiriki ambao kila jambo aliloaandika na kunena mwanakijiji haitakiwi kwenda kinyume. Angalia sasa ukienda kinyume unaitwa UWT wapi na wapi? je tutafika?
MZEE MWANAKIJIJI heshima mbele, lakini ninathubutu kusema kwa jinsi ulivyoitangaza kazi yako hii na watu wamekuunga mkono kwa kulipia 30,000. Hata hivyo kumbuka hii ndiyo kazi itakayokujenga au kukubomoa kwa kipimo cha kwamba ni kazi nzuri ambayo haina maudhui mapya ilitakiwa isambazwe bure.
Naomba wanaojibu haya ni muhimu wawe wamepitia na kusoma ripoti hiyo na kutueleza ni kitu gani kipya tangu kashifa ya Meremeta ilipoibuka. Ninachoweza kumshukuru Mwanakijiji ni kukusanya taarifa mbalimbali na kuweka katika makala moja. Pole kwa kazi nzito na ndefu.
MZEE MWANAKIJIJI heshima mbele, lakini ninathubutu kusema kwa jinsi ulivyoitangaza kazi yako hii na watu wamekuunga mkono kwa kulipia 30,000. Hata hivyo kumbuka hii ndiyo kazi itakayokujenga au kukubomoa kwa kipimo cha kwamba ni kazi nzuri ambayo haina maudhui mapya ilitakiwa isambazwe bure.
naomba kuwalaumu watu walioamua ripoti hii iuzwe kwa bei rahisi hivi.
Huu ni wizi mtupu hakuna lolote hapa kama mna nia njema na umma wa watanzania toeni bure hiyo ripot hapa kwa forum mnapoomba fedha hivyo mnajionesha kuwa mu wafisadi kama wao tu no difference najua mtachukia mnataka sifa msizostahili.
Phd umenena nimesikitika sana kwamba ripoti hiyo haina jambo jipya zaidi ya kunukuu taarifa mbalimbali kama zilivyowahi kuripotiwa na vyombo vya habari, vyama vya upinzani na mashirika ya wanaharakati. siyo kwamba napuuza ripoti hii lakini haikustahiriki kuuzwa kwa madai kuwa ni ya uchunguzi kwa kina. MZEE MWANAKIJIJI ni kama umejishushia hadhi kwa kuamua kuuza ripoti hii. Wengi tulisubiri kuona kitu kipya. I beg to differ.
Phd umenena nimesikitika sana kwamba ripoti hiyo haina jambo jipya zaidi ya kunukuu taarifa mbalimbali kama zilivyowahi kuripotiwa na vyombo vya habari, vyama vya upinzani na mashirika ya wanaharakati. siyo kwamba napuuza ripoti hii lakini haikustahiri kuuzwa kwa madai kuwa ni ya uchunguzi wa kina. MZEE MWANAKIJIJI ni kama umejishushia hadhi kwa kuamua kuuza ripoti hii. Wengi tulisubiri kuona kitu kipya. I beg to differ.
PhD said:Huu ni wizi mtupu hakuna lolote hapa kama mna nia njema na umma wa watanzania toeni bure hiyo ripot hapa kwa forum mnapoomba fedha hivyo mnajionesha kuwa mu wafisadi kama wao tu no difference najua mtachukia mnataka sifa msizostahili.
Kuzoea vitu vya bure ni hatari sana!
MZEE MWANAKIJIJI heshima mbele, lakini ninathubutu kusema kwa jinsi ulivyoitangaza kazi yako hii na watu wamekuunga mkono kwa kulipia 30,000 lakini kumbuka hii kazi ndiyo itakujenga au kukubomoa kwa kipimo cha kwamba ni kazi nzuri ambayo haina maudhui mapya na ambayo ilitakiwa isambazwe bure kwetu.
Naomba wanaojibu haya ni muhimu wawe wamepitia na kusoma ripoti hiyo na kutueleza ni kitu gani kipya tangu kashifa ya Meremeta ilipoibuka. Ninachoweza kumshukuru Mwanakijiji ni kukusanya taarifa mbalimbali na kuweka katika makala moja. Pole kwa kazi nzito na ndefu.
Mwanajamii,
Kazi hii licha ya kukusanya makala nyingi sana kuhusu sakata la Meremeta na kulikweka katika taarifa moja comprehensive, imejaa masuala mapya mengi sana. To appreciate kazi hii soma kitabu kinaitwa The Arms Deal (mtunzi nimemsahau jina, ni cha Afrika Kusini kuhusu Zuma etc). Kuna mambo mapya na yameunganishwa na mtandao hatari sana duniani. Kuna masuala mapya mengi sana.
Nimemwambia MwanaKijiji kuna taarifa moja muhimu sana aipate na kuichambua na ku-update Taarifa hii. Hapo atakuwa amemaliza kazi.