Meremeta Report: Released to the Public (Revised & Free!)

Yaani ungehisabu pesa zinazoliwa kifisadi tz ...tungekuwa tushakuwa dubai ya pili sasa, nchi ina pesa kufuru ya Mungu, lakini viongizi hakuna hata mmoja mwenye kupenda nchi yake.

Sow can somebody take billions from people who get less than a dollar per day?
 
Nakumbuka jibu la Kikwete alipoulizwa swali, kwanini Tanzania inaendelea kuwa masikini licha ya kuzalisha dhahabu (third producer in Africa), kuwa na wawekezaji katika sekta mbalimbali, nk akajibu SIJUI.

Mimi pia nilisikia habari hizi.
Leo asubihi nilikuwa naitafuta hiyo statement kwenye net ila sijafanikiwa, ningependa sana kuona hiyo quote ya Mr. President.

Mimi naogopa CCM itakaposambaratika, mafisadi watakuwa pande zote mbili na itabidi tuchague kundi moja au jingine la mafisadi, tutakuwa kama Kenya tu!

Wala usiwe na shaka; hata kwa dakika moja usidhani kwamba bila CCM mambo yatakwenda kombo.
Kwa mawazo yangu, ni ishara mbaya chama cha siasa kugawanyika kwa sababu za ovyo-ovyo kama ubinafsi, ukabila nk. Ila kwa mambo ya msingi kama hili sakata la ufisadi, mbona hilo litakuwa jambo bora kabisa!
 
Meremeta Gold: Security, intelligence units all on red alert

-Revealed: Quiet investigations in progress

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

The mysterious dealings of the now-defunct Meremeta Gold Mine Company Limited have become the subject of collective curiosity from a number of top national security and intelligence departments long after its reported liquidation in 2005, it has now come to light.

Impeccable sources have informed THISDAY that investigators from the Tanzania Intelligence and Security Services (TISS), the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB), and the Tanzania Police Forces own criminal investigations department (CID) have each been snooping around Meremeta company records filed at the Business Registration and Licensing Authority (BRELA) offices in Dar es Salaam for the past two years or so.

The sources said the investigators appeared mainly interested in gaining access to the companys financial statements and its list of shareholders.

It is understood that although the parallel investigations by all three state agencies are believed to have gathered a significant amount of evidence on the UK-registered company, there has been no status report so far.

It also remains unclear if TISS, PCCB and the police CID were and still are even working together at all, including coordination in gathering, compiling and analysing the evidence on Meremeta.

THISDAY has now learnt that after being formed in the UK, a local branch of the Meremeta company was registered in Tanzania in 1997 and given certificate of compliance number 32755.

At the time, according to THISDAY latest findings, the listed company directors were Russel John Schwartz (a South African national), Wilfred Nyachia (then a senior Treasury official), Zulu Lyana (a Tanzanian civil servant) and Gerald Augustine Mrudi (also a Tanzanian national).

According to the government, Meremeta Gold was originally registered as a joint venture company owned on a 50-50 basis by the Tanzanian government and a private South African company, Trinnex (Pty) Limited.

At least one senior police detective, identified as Senior Superintendent of Police (SSP) Ernest Sakawa, is reported to have visited the BRELA offices and asked to see the Meremeta company files as far back as May 2006.

And again in 2007, the PCCB is understood to have sent one of its own top sleuths, Dunia Kaongo, to gather information about Meremeta from BRELA.

Kaongo is now the PCCB director of investigations, a post he took over from Dr Edward Hoseah after the latters promotion to director general of the governments anti-graft watchdog.

Insiders have also told THISDAY that the police CIDs own quiet probe took it all the way to the Buhemba gold mine in Mara region, which was run by the Meremeta company but has since also been closed down somewhat unceremoniously.

THISDAY investigations have already established that as part of the Meremeta bankruptcy process, former Bank of Tanzania governor Daudi Ballali authorised a questionable payment of over $118m (approx. 150bn/-) to South Africas Nedbank to liquidate a loan issued to the outgoing company.

Following the liquidation of Meremeta, a new company was formed under the name of TANGOLD Limited, which then received an additional $13.34m (approx. 17bn/-) paid by BoT into its bank account at the National Bank of Commerce Limited Corporate Branch in Dar es Salaam.

Former energy and minerals minister Nazir Karamagi is on record as announcing in parliament that TANGOLD was a wholly-owned Tanzania government company, and that all assets and liabilities of the Meremeta company - including the Buhemba gold mine in Mara region � had been transferred to TANGOLD.

However, THISDAY investigations have also verified that TANGOLD Limited was in fact registered as an offshore company in Port Louis, Mauritius in April 2005 - albeit with at least five top government officials listed as directors.

They included Ballali and the permanent secretary in the Ministry of Finance, Gray Mgonja, who has continued in the same position todate despite a whole government changeover in the interim.

Others were the then Attorney-General and later senior Cabinet minister, Andrew Chenge; the then permanent secretary in the Ministry of Energy and Minerals, Patrick Rutabanzibwa; and the then permanent secretary in the Ministry of Livestock Development, Vincent Mrisho.

Rutabanzibwa and Mrisho are now permanent secretaries in the Ministry of Water and the Prime Ministers Office, respectively. As for Chenge, he was recently forced to resign from his latest government position (as senior Cabinet minister) after being linked to the 70bn/- military radar scandal dating back from his days as AG.

It has also been verified that although TANGOLD is supposedly a government-owned company, the listed directors (shareholders) are permitted to transfer all or part of their shares to their next of kin.

Furthermore, the Ministry of Finance currently does not list TANGOLD among companies owned by the Tanzanian government.
 

Mali za Taifa zinapogeuka kuwa mali binafsi, zinapoweza kurithishwa kwa watoto na vizazi vijavyo vya vigogo wachache huku taifa likibakia hohe hae.
 
Na hii ya KULIKONI ya LEO, nayo inazungumzia hayo hayo, kazi kwenu. Nani wa 'kumfunga paka kengele?'

Source: Kulikoni, Na.330, Jumatano Mei 14, 2008
 
Hiki kigugumizi kinatoka na TU na kuwa, wote wenye usemi katika hili walikuwa wanahabari na kinachoendelea, sasa watafanyaje masikini? ni kusubiri tu upepo mbaya upite.

Hata kama ni wewe, umefanya mwenyewe, au mwanao au kaka yako, anatafutwa na polisi utatoka kifua mbele? ujitoe ukamatwe, au umtoe mwanao ua nduguyo wa kufa na kuzikana? si rahisi jamani, inahitajika nguvu ya nje!!!

JF NDIO NGUVU, WAPINZANI NDIO NGUVU, MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI, NCHI MARAFIKI,
inabidi tuwe na msukumo mkubwa hadi wa-crumble. There is no way watajiachia wenyewe tu kukamatwa au kukamatana.
 
vitu kama hivi ndo unakuta upande mmoja wa jamii ya tanzania unataka kujtenga! kwa sababu hawaoni faida ya kuwa na serikali iliyopo!
 
Haya ndo makampuni wanayotumia kuamisha hazina za watanzania kuingiza kwenye account binafsi na kuyafilisi.
 
watanzania walio wengi wanaugua gonjwa liitwalo MNYONG'ONYO ambalo linawafanya kuwa mashabiki wa mafisadi badala ya kuwachukulia hatua.

Ninaibeza kauli ya pindwa kuwa chonde chonde kuwa ufisadi usihusishwe na chama, naomba twende wote ktk physics hii...:- Kiongozi wa kiwango cha waziri ni matokeo ya sera nzuri na makuzi ya kiuongozi ndani ya CCM, na kila jema alifanyalo chama kinachukua sifa kwa jema hilo, na utendaji wake woote hutawaliwa na miiko na taratibu za kichma, na mkiona waziri anahulka za kifisadi bsi mfahamu kuwa hayo pia ni matokeo ya makuzi ndani ya chama, Siamini kuwa eti waziri ashiriki ufisadi akisha pata uwaziri tu, bali tabia hii imejengwa na siasa za kimakundi ndani ya ccm ambapo ili uweze kupigiwa kura za maoni ni shurti ujifisadishe ndipo utaonwa, na kingine ni kuwa kama kiongozi ameshindwa ni chama kimeshindwa, haiwezeani eti timu ya taifa ifungwe halafu tuseme kufungwa huko nchi haihusiki wala haiguswi na kipigo hicho bali kufungwa huko ni matokeo ya maandalizi duni ya kuokoteza yasiyo na chembe ya utashi chanya.

Next time ndugu yangu Pinda, jitahidi kutenda zaidi ya kunena maana wewe si mwanasiasa na usijaribu kuwa mwanasiasa au la, white head atakucheka.
 
Sheria zipo za kuwashughulikia hawa mafisadi lakini waliopewa hiyo dhamana hawataki kufanya hivyo.
 
Sheria zipo za kuwashughulikia hawa mafisadi lakini waliopewa hiyo dhamana hawataki kufanya hivyo.

Nakumbuka MKuu Rev. Kishoka alisha maliza hili tatizo hatuna watawala makini.

Itatakiwa siku tukiwapata kazi ianzie hapo hapo wote watarudisha tu. na hayo makampuni hayahitaji hata masaa 6 kujua wamiliki wake.
 


Baada ya kutoka kwa mara ya kwanza tumepata mwitikio mzuri na ambao umetusaidia kuziba mapengo kadhaa. Maoni ya watu mbalimbali yametufanya tuupdate ripot hiyo kwa hiyo hata kwa wale walioipata ya awali waiangalie hii mpya hasa kwenye maeneo ya EO na Tanzania na vile vile juu ya mapendekezo yetu katika sehemu ya mwisho.

Tunatumaini mjadala sasa uko tayari kuanza na kuipima ripoti hii kikosoaji. Na isambazwe na kuwa "Cheche".

Kuna mambo mengine vile vile ambayo tunayashikilia mkononi kusubiri hatua zitakazochukuliwa miongoni mwao ni orodha ya ndege zote za V. Bout ambazo zimekuwa zikitumika katika usafirishaji wa bidhaa na silaha katika eneo la maziwa makuu.

Tunaendelea vile vile kupokea taarifa yoyote mpya ambayo itaziba mapengo mengine ili kuchangia katika kitabu chetu kijacho cha Historia ya Uporaji wa Raslimali zetu kuanzia Loliondo hadi Meremeta!

Nitakuwa tayari kujibu maswali yoyote hapa kuhusu ripoti hii; maswali ambayo yanaweza kujibika hapa.
 

Attachments

Last edited:
Ahsante Mkuu, sasa wote tutaona yaliyojiri humo
 
Mkuu,
Wacha tuisome, halafu tuje. Ubarikiwe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…