sasa Mkuu turudi kwenye mada, kama unaona Mzee Mjj alivyobainisha kuwa kuna sababu nyingi zinatajwa kuhusiana na Meremeta kutegemeana na nani ameitoa wapi na katika mazingira gani. Mimi Nadhani This day Pia sasa ni wakati wa kuweka pamoja hizi sababu na kutoka na Hitimisho wasomaji wao tujue Meremeta ilikuwa ya nani kwa ajili ya nini?
Uko sahihi kabisa, si Thisday pekee, bali magazeti na wanasiasa wengine wa Tanzania pamoja na wanaharakati ili tufike mahali wahalifu wa sasa na wa zamani wawe wanaogopa kuiba si hali ya sasa ambako mwizi anaitwa MJANJA
Hili la Meremeta litafikia mwisho wake tu.. lakini kama mkondo wa maji ni lazima uongozwe vizuri shambani vinginevyo unaweza kugharikisha na kuharibu mazao.
Duuu! kweli sasa hivi mambo yanakwenda behind the curtain, na kama tusipokuwa makini hata humu JF tutapigwa kizungumkuti maana naona hata namba ya members sasa hivi inaongezeka kwa kasi sana hasa baada ya kutoka ripoti ya Meremeta
Asante sana! ila itabidi tukuongezee ulinzi...!
labda nimuombe Masha ulinzi zaidi!
Mwombe Waziri Mkuu kama alivyofanya Sitta.
Pia sehemu nzuri ambayo ilikuwa ya kuweka hizi hoja kati ni mahakama, Je mahakama yetu ipo huru kweli? na DPP ndio wa kutusaidia kuendesha mshitaka na PCCB & UWT ndio hao wa kuongoza upelelezi sasa mimi nachanganyikiwa, jamani nipeni moyo tufanye nini haya mambo yafike mwisho na haki na sheria zichukue mkondo wake?
Mmmh.. halafu akianza kulia mtoto wa watu..?
Unampatia nyonyo! Mbona wazungu wanatupatia?π
Wanatupatia Nyonyo halafu tunaanza kutafunana wenyewe kwa wenyewe...
Lakini RAIA MWEMA wao si walishasema kuwa wameipata JF ama?
Sasa hawa THIS DAY waomeona ubaya gani kusema kama source yao ni JF?
Hapa tunapa wider picture kuwa inawezekana wahariri wenyewe inawezekana walipokuwa chuo kikuu walikuwa wana palagarize course works zao na haya ndio matokeo yake wakiwa kazini wanaumbuka
Unampatia nyonyo! Mbona wazungu wanatupatia?π