Meridian Bet mnakera sana, nitawashitaki

Meridian Bet mnakera sana, nitawashitaki

Islam005

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2008
Posts
3,354
Reaction score
3,623
Hawa Meridian bet nilijiunga mara moja tu na nikajitoa(nililazimika kujiunga kwa muda mfupi ili niObserve kitu fulani kutokana na kazi zangu), lakini kila siku wanaendelea kunitumia meseji zao za ofa na promotion. Nimepiga simu zaidi ya mara tano wanasema tu watafanyia kazi lakini hamna kitu. Kama leo tu zimeshaingia tatu mfululizo nimepiga simu kapokea mdada halafu akakata.
WhatsApp Image 2024-09-11 at 17.17.50.jpeg
 
Weka hiyo black list hutaziona japo kwenye spam zitakuwa huko ila kwenye inbox yako itakuwa haziji
 
Mimi sijawahi kujiunga ila kila siku wananitumia sms, wanakera sana
 
Back
Top Bottom