hahaha kuna kibogoyo mmoja anatumiaga sana neno hilo !alafu kutwa kujitapa msomi !lol namtupa kwenye dustbin mieeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
teh teh ! ptuMtupe tu kwa kweli..
Napenda kumtakia Maserati kheri ya Krismasi, ujumbe wangu kwake ni Ahsante kwa yote.Wana jf,
Katika kufurahia sikukuu hii Leo,naona ni vema basi ukatupia comment ukimention jina la member yeyote kumtakia heri ya sikukuu hii ya Leo.
Napenda kuwatakia wote kheri na fanaka ya sikukuu ya krismas na mwaka mpya wa 2018...
Asante sana sana.Shukrani sana Maserati. Heri na baraka kwako pia katika hii sikukuu kubwa ya Christmas na pia nakutakia kila la heri na baraka ya mwaka mpya wa 2018.
Nilikuja pm kutaka kukutumia Christmas card lakini nikashindwa kufanya hivyo kwani nilikuta kufuli kubwa ikining’inia mlangoni 😡
Asante sana sana.
Ya kufuli mezea pilau lililobakia la Christmas.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asante mase na kwako pia mpenziWana jf,
Katika kufurahia sikukuu hii Leo,naona ni vema basi ukatupia comment ukimention jina la member yeyote kumtakia heri ya sikukuu hii ya Leo.
Napenda kuwatakia wote kheri na fanaka ya sikukuu ya krismas na mwaka mpya wa 2018...
Tanteeee na kwako pia[emoji7][emoji7]
Same to u darling [emoji8][emoji8][emoji8]Daby, mshana J, Nokia, Vladmir, Emyta Shunie,
Hatimae umeachiwa na mtekajiiiTanteeee na kwako pia[emoji7][emoji7]
Mfyuuuu zakoHatimae umeachiwa na mtekajiii
Ndioo make hizi salam kabla ya ChristmasMfyuuuu zako
Kheee me ndio nimeingia leoNdioo make hizi salam kabla ya Christmas
Baada ya kuachiwaKheee me ndio nimeingia leo
Hapana nilikua sina mtu jaman wa kuingiaBaada ya kuachiwa