Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods wanajitahidi sikukuu iende vizuri kwa humu ndani mkuuMbona nimefungua jamii forum naona Kuna vitu vinadondoka kama snow wakuu!!
Au ni mapombe🤔
Karibu sana Mkuu, kama uko Town tukutane the Liquid Bar hapo UhasibuAsante mkuu ugali dagaa unanitosha
Shukrani sana babu ila utanisamehe kutokubali mwaliko 7bu nipo namûguza mdogo wanguKaribu sana Mkuu, kama uko Town tukutane the Liquid Bar hapo Uhasibu
Watoe bana vinatuletea mawenge,halafu hatujazoea🤣Mods wanajitahidi sikukuu iende vizuri kwa humu ndani mkuu
And yes ni mapambe
😂😂 😂Ombi lako linafanyiwa kazi mkuuWatoe bana vinatuletea mawenge,halafu hatujazoea🤣
AminaAmen!🙏
😂😂😂mawenge yapi tena Mkuu?Watoe bana vinatuletea mawenge,halafu hatujazoea🤣
Dah!! zilikuwa zinanipotezea focus ya kusoma haraka.Mbona nimefungua jamii forum naona Kuna vitu vinadondoka kama snow wakuu!!
Au ni mapombe🤔