MERRY CHRISTMASS & HAPPY NEW YEAR JF
Ikiwa ndio leo siku ya kwanza ya msimu rasmi wa sikukuu wa mwaka 2024~2025.
Sina budi kwanza kumshukuru Mungu kwa niaba ya wote wataouona ujumbe huu. Pia natoa pongezi za dhati kwa moderators wa Jamiiforums kwa kuhakikisha tumekuwa hewani mwaka mzima na kuniwezesha kuandika ujumbe huu
Pia nawatakia sikukuu njema viongozi wote wa nchi yetu wale wa kisiasa na kidini pia. Hao ndio chanzo cha amani yetu. Asante Mama Samia kwa amani yetu. Japo changamoto bado tunazo.
Mwisho heri zangu ziwafikie wanafamilia wenzangu wa JF na wa kindugu. Hakika tumevuka pamoja. Tumshukuru Mungu pamoja.
MERRY CHRISTMASS & HAPPY NEW YEAR.
2024 ~ 2025
TO THE WHOLE WORLD!
Uzi huu utumike kuwataja member mmoja mmoja na kumtakia msimu bora wa sikukuu
Ikiwa ndio leo siku ya kwanza ya msimu rasmi wa sikukuu wa mwaka 2024~2025.
Sina budi kwanza kumshukuru Mungu kwa niaba ya wote wataouona ujumbe huu. Pia natoa pongezi za dhati kwa moderators wa Jamiiforums kwa kuhakikisha tumekuwa hewani mwaka mzima na kuniwezesha kuandika ujumbe huu
Pia nawatakia sikukuu njema viongozi wote wa nchi yetu wale wa kisiasa na kidini pia. Hao ndio chanzo cha amani yetu. Asante Mama Samia kwa amani yetu. Japo changamoto bado tunazo.
Mwisho heri zangu ziwafikie wanafamilia wenzangu wa JF na wa kindugu. Hakika tumevuka pamoja. Tumshukuru Mungu pamoja.
MERRY CHRISTMASS & HAPPY NEW YEAR.
2024 ~ 2025
TO THE WHOLE WORLD!
Uzi huu utumike kuwataja member mmoja mmoja na kumtakia msimu bora wa sikukuu