Meseji za bando zimekwisha usiku wa manane

Meseji za bando zimekwisha usiku wa manane

chugastan

Senior Member
Joined
Dec 6, 2019
Posts
166
Reaction score
465
Hizi meseji za mitandao ya simu kujulisha bando ya internet imeisha zinakera sana.

Kuna haja gani ya kutuma meseji tatu usiku wa manane kwani bando ikiisha sinitajua mbaya zaidi zinakuja sms tatu kwa mfululizo unaweza kupuuza kwa kudhani ni SMS za mtandao ila ukiacha kusoma na umesikia ikiita simu usingizi unakata hadi usome kwa kudhania labda ni taarifa nyingine muhimu, zinakera sana.
 
Tigo bando likiisha na data ikawa on utajuta, utapokea mfululu meseji kua huna salio la kutosha kila baada ya dakika kadhaa.

Tigo kama huna kifurushi na ukajaribu kipiga simu au kutuma text ikagoma, utapokea mfululu wa meseji kua huna salio la kutosha ziaid ya tatu papo hapo.
 
Hizi meseji za mitandao ya simu kujulisha bando ya internet imeisha zinakera sana ,kuna haja gani ya kutuma meseji tatu usiku wa manane ,kwani bando ikiisha sinitajua ,mbaya zaidi zinakuja sms tatu kwa mfululizo ,onaweza kupuuza kwa kudhani ni sms za mtandao ila ukiacha kusoma na umesikia ikiita simu usingizi unakata hadi usome kwa kudhania labda ni taarifa nyingine muhimu,Zinakera sana
Ndugu mteja umefikia asilimia 75 ya kifurushi chako
 
Wanaiba tu hao hata usipotumia unashangaa meseji nyingi ukienda Zambia,Malawi na SA data inaenda kwa mwendo wa kono kono..
 
Back
Top Bottom