Meseji za Mapenzi za kumtoa nyoka pangoni..enjoy

Hizo messenger ni Darasa la nne na la tano hata wa darasa la sita atakudharau wadada wanataka pesa iongee
 
Dem wangu kagoma kutoka pangoni nifanyaje[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee Niliwahi kuandika message ya kumtoa nyoka pangoni ila kabla sijamaliza kuandika ghafl.................................... ................................................
Nilikuja kushtuka nimefunikwa shuka nyeupe, ila huu mguu wa kushoto umevimba Sana alafu unauma,
Ile shuka nakumbuka ilikuwa imeandikwa muhumbili,


Sitokuja tena kuandika message za kumtoa nyoka pangoni.
 
Ukiskia kutemwa ndo Leo! madem wengine kama diva the bawse ! kibut nje nje
 
Maana yake hapo kwanza nicheke... hivi haya mambo bado yapo ulimwengu wa leo?
 
Mi naona unatukomoa mkuu!!! Duh... hata Paulo pamoja na kuijaza biblia, hakuwai kuandika waraka mrefu ivi...kha!!!

Afu sasa, mbaya zaidi vitu ka izi ni bonge la waste of time. Form sku izi ni "unatoa, hutoi?"
 
Mi naona unatukomoa mkuu!!! Duh... hata Paulo pamoja na kuijaza biblia, hakuwai kuandika waraka mrefu ivi...kha!!!

Afu sasa, mbaya zaidi vitu ka izi ni bonge la waste of time. Form sku izi ni "unatoa, hutoi?"
Unaulizwa...acha maneno una sh ngapi?
 
Mkono mtupu hailambwi. Sms za mapenzi ni miamala kipindi hiki.

Akiona umepokea au imethibitishwa basi hiyo ndio txt nzuri zaidi ya mapenzi
 
Na kwa taarifa yenu bandar tunauza hatuwez rithisha vijana wa hivi maliasili
 
Bado tu zile stori za kulipia kwa kipande facebook ihamie humu😀😀😀
 
Hakuna meseji nzuri za mapenzi kama meseji za imethibitishwa umepokea kiasi chaa kutoka kwa huyo deshi wako..

Wanaume tutafute hela hata mia mbilimbili za kununulia pilipili na vitunguu maji kwa mwanamke ni nyingi sana.
 
Tafuta pesa tu yeye ndio ataandika izo mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…