Meseji za Mapenzi za kumtoa nyoka pangoni..enjoy

Meseji za Mapenzi za kumtoa nyoka pangoni..enjoy

Tafuta hela kijana uache tantalila ....mapenzi bila pesa ni kelele ......trgehddhhhdhdrhehfhdhhdhndhddbrhfdhdhxhdgrdgdrhrjudvgdifntoeuyegvrydehruruhryryeveuefrhrrjfhufhrhfhhrheebrowceteyy2gehfy3u4u4riurh3yydu3u8t4brufhfyegvrhdyehegrhrjeurvdyvervhegeugddyeyuryt .....acha kelele
 
Mapenzi ya meseji ni ya watoto wa shule na vyuo kidogo. Sisi wakongwe ni viashiria tu vya hapa na pale, kinachofuata ni moja kumeza nyenzake
 
Haya mambo niliyafanyq nikiwa darasa la pili hukooo.
 
Hivi dunia ya leo bado watu wanatumiana sms za mapnz?
 
Mmh umetuchosha bure tu kwa lugha hizi za ulaghai siku hizi hakuna haya navitu kinachokoleza mapenzi sasa uwe na hela tu basi.Just imagine unaweza kumweleza mwanamke maneno yako haya yote bila hulu huna hela ya saloon,hela ya mtoko kujirusha viwanjani na nguo za kuvaa?Tambua kwamba kuna mambo yameshapitwa na wakati you need to think outside the box.
 
We Figganigga umezidi maneno ya wimbo ulio bora wa biblia
Sikusoma zote ila nimechukua hizi.
‘’Mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakini
yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si
njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa
unaempenda’’
‘’Wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda
pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu
wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako’’.
 
Back
Top Bottom