Meseji za Zuia Uhalifu zimekuwa kero sasa kwenye simu zetu

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kuna meseji zinatumwa kuhusu Zuia Uhalifu.

Ni wazo zuri lakini sasa wahusika wanazituma mfululizo kwa sisi watumiaji wa simu na kutujazia inbox zetu sisi watumiaji wa mtandao wa tigo.

Hii ni kero sasa, wahusika watume walau mara moja kwa wiki.
 

Attachments

  • IMG_2404.jpeg
    162.9 KB · Views: 10
Kuna meseji zinatumwa kuhusu Zuia Uhalifu.

Ni wazo zuri lakini sasa wahusika wanazituma mfululizo kwa sisi watumiaji wa simu na kutujazia inbox zetu sisi watumiaji wa mtandao wa tigo.

Hii ni kero sasa, wahusika watume walau mara moja kwa wiki.
Wameshindwa kuuzuia wakati wanacho kitengo cha kupambana na uhalifu kupitia mitandao ya mawasiliano, wameamua kutusukumia sisi mshahara wale wao.
 
Ndiyo ushatumiwa

Kaa mguu sawa,usije ukasema

Hujaambiwa

Ova
 
Hizo meseji zao basi walau wangekua wanatoa elimu kidogo kidogo juu mambo mbalimbali ya kiusalama kama jinsi ya kuripoti dharula mbalimbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…